Babarita
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 385
- 126
mkuu ata mi nahitaji hii kitu nina laki 7.vipi naweza pata?Kwa macbook pro 13 inch(2010) inaanzia laki nane jamaa angu.
mkuu ata mi nahitaji hii kitu nina laki 7.vipi naweza pata?Kwa macbook pro 13 inch(2010) inaanzia laki nane jamaa angu.
Kwa macbook pro 13 inch(2010) inaanzia laki nane jamaa angu.
Mkubwa Ganso nikuletee bold 9900 utanipa laki saba (700,000)?!
Hahahaha, is tht wat u call cheap???? Groups za deals fbook watu wanauza 500-600 ..thot utakua unauza afadhali kumbe afadhali ninunue uko uko....aksante sitaki tena, kamata wengine sio wote mafala
Uchawi umetoka wapi mkuu?? hahaha, ukweli unauma siku zote!!! Habari ndo hiyoKumbe ulijua una sehemu ya kununua mzee. Waachie wenzako basi na matusi yako peleka kwa familia yako na sio kwa wateja wangu. Watu wengine nyie ndo mna historia za kuwa wachawi fuatilia vizur
Bado nasubiri ile Samsung Galaxy Tab 7.7 P6800,,,,Samsung Galaxy Tab 10.1 32GB laki saba na nusu (750,000/=)