Megawatt B
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 259
- 69
Mimi naanza:
Mama: Wewe tangu mzee afariki hujakanyaga hapa kwanini? hukumbuki mzee alikulea pale magogoni. Ndo maana mambo ako hayendi vizuri
Pinda: Ndo maana nimekuja, nilisikia mwanao Madaraka alivyonisema madiwani wa Sumbawanga walikuja hapa, nisamehe!
Mama: Wewe tangu mzee afariki hujakanyaga hapa kwanini? hukumbuki mzee alikulea pale magogoni. Ndo maana mambo ako hayendi vizuri
Pinda: Ndo maana nimekuja, nilisikia mwanao Madaraka alivyonisema madiwani wa Sumbawanga walikuja hapa, nisamehe!