buhange
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 505
- 110
Ndugu wana JF Kumezuka ubishi mkali sana hapa mtaani, kwamba kati ya Mkoa wa Rukwa na Mkoa wa Kigoma, wepi wanahaki ya kutamba kifua mbele kwamba wanawazidi wenzao kimaendeleo ktk kada zote? KURA YAKO TAFADHARI...Chaguo lako lisisimamie ktk upendeleo wa asili unakotoka.