DENLSON
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 944
- 1,252
Niwaombe watanzania na wote wenye mapenzi mema na taifa letu kutoa mawazo yao ambayo yakitekelezwa au kuboreshwa yatasaidia:
- Kuinua uchumi.
- Kutengeneza ajira mpya.
- Kukuza biashara.
- Kuanzisha bishara.
- Kuvutia wawekezaji.
- Kuongeza ukusanyaji wa kodi/mapato.
- Kuboresha miundombinu.