Phamarcist
JF-Expert Member
- Apr 18, 2021
- 211
- 449
Unamaanisha muhindi ( indians ) au mimi ndio sijaelewa
Mhindi ambao ni mmea unaotoa punje ambazo husagwa na kutoa unga kwa ajili ya chakula(ugali)Unamaanisha muhindi ( indians ) au mimi ndio sijaelewa
Jaribu kuangalia group lako la damu na uangalie diet unazopaswa kula kutokana na group la damu kuna aina ya chakula unakitumia mara kwa mara ndio inakupa huo mzio wa mafua
shukrani sana bossMkuu, kila siku sukutua na chumvi, bumba mate mazito yenye chumvi sukutulia eneo lenye jino bovu. Unasukutua unatema mate (chumvi ibakie mdomoni) utasukutua HADI ile chumvi uliyoweka mdomoni iishe.
Hii ni mjarabu kabisa bila rongo rongo.
Hata jino likikuuma litulize kwa hiyo style
Muhimu: Uzi huu hauhusishi matatizo ya nguvu za kiume, tayari kuna uzi wake maalum jukwaa la mapenzi
Huu ni uzi spesho wa mirejesho yetu tuliowahi kutumia tiba asili na zikatusaidia, yaani sisi ndio tuwe mashuhuda sio kukopi ma kupesti humu.
1. Nilikuwa nakula samaki ghafla kimfupa kikanikomea kwenye koo, nilijaribu kukohoa kwa nguvu lakini wapi, kuna rafiki yangu alikuwa mtu wa kanda ya ziwa akanipikia ugali mgumu, niliambiwa nipige tonge zile kubwa bila mboga yoyote, Tonge la kwanza tu mfupa ukateremka nikabaki nashangaa na nilimshukuru sana, nilikuwa nimepanga niende hospitali ila rafiki alinisaidia.
2. Funza kwenye kidole anaesababisha kidole kivimbe na maumivu makali, maumivu yalikuwa makali sana, nilienda hospitalini wakaniambia kucha itolewe, niliwaambia hakuna tatizo ntakuja, ulifikiri nilienda !! nikiwa natafta njia mbadala nikaambiwa na dada flan kaishi bush utotoni kwamba dawa ni kuvaa ndulele / turatura / ndura / nyanya pori, yaani unaichuma unaikata juu na chini iwe kama pete alafu unaivaa iishie ile sehemu yenye mdudu, ule utomvu ni sumu kwa mdudu yule, yaani ukiivaaa atahangaika sana mpaka afe ila nawe mda huo chamoto utakiona, akifa maumivu yanaisha na kidole kinakuwa na usaha, unakitoboa huhisi maumivu yoyote yale, unakamua usaha wote.
3. Kwikwi - hii dawa yake ni kunywa maji, ama upate uwoga mfano utishiwe umeiba kitu, kuna nyingine ni sugu sijajua wanatibu vipi.
Huyo dawa yake ni ndulele unakamlia hapo kwa kidole huska mambo yanakuwa bambamKuna mdudu huwa anasababisha kidole kuuma na kuvimba pia,,,,huyo mdudu ni nani? Au tetenasi?kuna jamaa zangu wawili walifariki kisa kuwa na huyo mdudu vidoleni,,
Tafuta mavi ya kuku changanya na maji kias hafu mvizie akiwa anakunywa mimina kidogo kwenye chupa yake au glass....baaada ya hapo atatapika na hata taman tena kunywa...!! Inakata utegemeziNahitaji mtu anisadie ndugu yangu aiache pombe Jamani nisaidieni
Duu mkuu mtu asije akafarikiTafuta mavi ya kuku changanya na maji kias hafu mvizie akiwa anakunywa mimina kidogo kwenye chupa yake au glass....baaada ya hapo atatapika na hata taman tena kunywa...!! Inakata utegemezi
Matatizo gani ya meno ?? Meno kuwana rangi mbaya ? Wala meno kuumaMkojo wa asubuhi kwa matatizo ya meno.
Nilikuwa napata matatizo ya meno mara nyingi, nikashauriwa kusukutua na mkojo wa asubuhi,
Baada ya hapo nikapona hadi leo
Kama ana mke anayenyonyesha pasipo yeye kujua " Kamua maziwa na umuwekee kwenye pombe". Hutajuta japo utajuta atakapokuwa anatapika. Hatarudia tena.Hapana ipo, ila umwekee kipindi hafahamu nenda kwenye banda la kuku kama unafagia chukua baadhi ya kinyesi cha kuku kilichokauka vizuri kisage kiwe unga kirainike hasa kisha muwekee kwenye bia anayokunywa ila hakikisha hajui baada ya hapo atatapika sana na kuichukia harufu yyte ya pombe
Tupe ushuhuda + matumizi mkuuTiba za kiroho kwa kutumia chumvi ya mawe
Ukienda kwenye mada husika utakutana nazoTupe ushuhuda + matumizi mkuu
Mimi naombeni nisaidieni mtu anayejua dawa ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke sijui ndo kuongeza nguvu za kike