ksksk
JF-Expert Member
- Aug 24, 2022
- 296
- 678
Mafua tumia kutafuna kitunguu maji usiku kila ukitaka kulala utaonaMm na mafua karibu kila siku...msaada please
Mafua tumia kutafuna kitunguu maji usiku kila ukitaka kulala utaonaMm na mafua karibu kila siku...msaada please
asante sana boss, so baada ya kuswaki c naweza kusukutua tu na maji ya kawaidaPole lkn kwa haraka tumia ndulele kupigia mswaki únaikata unakamulia kwenye mswaki unaswak kutwa ×2 asbhi na jion ndan ya wik 1 tu utaona angalizo usimeze chochote wakt unaswaki ukimeza n sumu hyo
Mwanza mkuuUko mkoa gn ndgu naweza kukusaidia
Utanichek ukipata muda mkuuMwanza mkuu
Baada ya kuswak baada ya dkka kama 3 unaweza tumia maj ya vgvg kdogo kusktuliaasante sana boss, so baada ya kuswaki c naweza kusukutua tu na maji ya kawaida
Jaribu mafuta ya mbarika. UtafurahiMkuu kuna time natoaga chozi chooni. Ahsante ngoja nikajaribu
WEKA HAPA...mtafutane wapi tena ??Utanichek ukipata muda mkuu
Tapeli hilo, kwanini asiseme hapaWEKA HAPA...mtafutane wapi tena ??
Mpigaji huyoTapeli hilo, kwanini asiseme hapa
Hiyo tiba haiwezekan kuweka hapa mkuu ila yupo mwenye dawa ambae almasaidia babang mzazi ,na ndgu na jamaa zangu wengi tu na pombe kwao imekuwa historia sah ndo maana namwmbia akipata muda anichek nimpe maelekezo uzr huyo mtu na yeye yupo Mwnza pia ili akamwone ana kwa anaWEKA HAPA...mtafutane wapi tena ??
Dawa ipo mi ushuhuda nnao kwa ndgu na jamaa kibao àkiwemo Babangu mzazi kabsaPombe nahisi dawa yake hamna
Jaribu kuangalia group lako la damu na uangalie diet unazopaswa kula kutokana na group la damu kuna aina ya chakula unakitumia mara kwa mara ndio inakupa huo mzio wa mafuaMm na mafua karibu kila siku...msaada please
Tafuna kitunguu saumu kila asubuhi kunywa na maji ya kutisha utanishukuru, siku za awali utajusikia vibaya ila ukiziea utaina ooa sanaMkuu kuna time natoaga chozi chooni. Ahsante ngoja nikajaribu
Tafuna kitunguu saumu kila siku asubuhi na tangawizi kila unapolala kwa siku tano.Mm na mafua karibu kila siku...msaada please
Zipo ila ninayoijua mimi sita mshauri mtu, nilimegombana na mama mmoja mwaka wa 8 huu baada ya kutafutia dawa ampe mkewe, hiyo ni kiboko.Pombe nahisi dawa yake hamna