Hii ni ya Mwl. Nyerere."Kupanga ni kuchagua"
Siku tunaambiwa tudai risiti katika kila huduma alianza na hii.Hii ni ya Mwl. Nyerere.
alikosea?On behalf of myself
Kuna mtu nimeambiwa hapa Zanzibar anazuia watu kutumia kisima,huyo dawa yake mnamtumbukiza kisimani akitoka atakuwa ametosheka maji.
HAHAAAAAAA anataka wote tusome ud na udomudom ina uwezo wa kubeba wanafunzi 40000+ na udsm 24000+ na bado tcu wanadahili wanafunzi 30000+ sasa hiv vi chuo vingine si bora vifutwe naomba wazir na tcu waliangalie hili sijuh mnaviita st nin.... na venyew vinataka wanafunzi wapate hela
Uchochezi huo ndg. ww hauna quote zenye mambo nzuri.
kwa kwel noma sanaHAHAAAAAAA anataka wote tusome ud na udom