ChamaDola
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 3,432
- 2,804
hayo maoni yake,mhe rais hajawahi kutamka hilo!Imenivutia hii, naomba unikumbushe muktadha wake
hayo maoni yake,mhe rais hajawahi kutamka hilo!Imenivutia hii, naomba unikumbushe muktadha wake
Ahahahaaaaaa... ..Imebidi niigize hiyo kauli huku nmepindisha kichwa...Nikisema serikali ya viwanda ya viwanda kweli kweli
Huku kapindisha kichwa
mkuu hio cheko la kichocheziAhahahaaaaaa... ..Imebidi niigize hiyo kauli huku nmepindisha kichwa...
HA ha ha ha ha ha haKILA KIJIJI KITAPEWA MILLION 50 SIJUI ZA MABOX AU.
SWISSME
.... Majibu yake sasaaaaa... Matataaaamwandishi:nje na siasa kitu gani kingine unapendelea?
Rais:Unataka nikwambie nakupenda wewe?
tajiri na si tajali....Serikali yangu ni tajali.