Ibrahim. H
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 316
- 92
Mmmmmmh!!!!! Mungu. Tuepushee. Na ichi. Kikombee. Yani. Hii shidaa tunayo.. Pataa. Ndo shidaa wataipata USA. maana naona. Nao.. Wamebugi.. Kama. Siee tu
Mayala kwa kisukuma ni njaa hiyo na wewe inaelekea ulizaliwa wakati wa njaa!PASCAL MAYALLA.KWA KISUKUMA NI ....
SWISSME
Kwa kweli nilimhurumia yule dada aliyeuliza hilo swali kwani alikosa amani baada ya kupata jibu hilo toka kwa mr. Jpmmwandishi:nje na siasa kitu gani kingine unapendelea?
Rais:Unataka nikwambie nakupenda wewe?
Chunga kijana hayo ni maneno ya ovyo na chocheziLol!....hizi ni nukuu (quotes) mbaya kabisa ndani ya siku 427, sawa na mwaka 1 na siku 62 pekee mara baada ya kuapishwa kuwa Rais hapo tarehe 5/11/2015!!
Sina hakika akimaliza siku 1,825 sawa na miaka mitano atakuwa amemwaga upupu wa kiwango gani tu hata kuweza kutunzwa kwa kumbukumbu za baadaye ili vitukuu vyake vije kuona jinsi babu yao alivyokuwa anafyatuka hovyo....
Kwangu mimi, watoto wangu na watoto wa watoto wangu hawana lolote lililo bora la kujifunza na kuliweka ktk library zao za kichwani na zile za mbao toka kwa huyu jamaa, zaidi kuwa, nitawafundisha kwamba huyu ni miongoni mwa marais wa hovyo kabisa kuwahi kutokea kuongoza taifa hili.....
Chunga kijana hayo ni maneno ya ovyo na chochezi
"kuna watu wana husda sna....hta kma unaogelea baharini watakwambia unawatimulia vumbi"
Mafisadi wote nitalala nao mbele
mkuu kama kweli na hii alisema basi jamaa sio mzima kwakwelikwenye ahadi zangu sikuhaidi tetemeko"
KWANI NANI MTU NUSU WEWE! Hata ungekuwa na miaka 200 narudia tena kusema kwa msisitizo MANENO YAKO NI YA OVYO NS CHOCHEZIMimi ni mzee mtu mzima na mama wa zaidi ya miaka 70. Kwa hiyo chunga sana kuita majina watu usiowajua!!
Hahahaha jamaniTrafic akiomba elfu tano mpe ni ya kubrashia kiatu
KWANI NANI MTU NUSU WEWE! Hata ungekuwa na miaka 200 narudia tena kusema kwa msisitizo MANENO YAKO NI YA OVYO NS CHOCHEZI
Mtaalamu wa njaa Tanzania huyoMagazeti yanayosema kuna njaa yamenunuliwa na wanasiasa na wafanya biashara. Mimi nasema hakuna njaa.
Rais JPM