kibovu JF-Expert Member Apr 17, 2017 661 686 Oct 16, 2020 #1 Wadau poleni na majukum, leo ndo wikendi wadau mimi binafsi ntakuwa kiwanja kimoja kinaitwa Juliana mbezi nakula bear. Mtakao kuwepo naomba mni Dm Tujumukike pamoja tukisubiri uchaguzi mkuuu. Asanteni
Wadau poleni na majukum, leo ndo wikendi wadau mimi binafsi ntakuwa kiwanja kimoja kinaitwa Juliana mbezi nakula bear. Mtakao kuwepo naomba mni Dm Tujumukike pamoja tukisubiri uchaguzi mkuuu. Asanteni
Ndalilo JF-Expert Member Jan 30, 2013 2,938 6,298 Oct 16, 2020 #2 kibovu said: bear. Click to expand... 👍
BARDIZBAH JF-Expert Member Jan 11, 2017 4,780 8,452 Oct 16, 2020 #3 Dah!!! weekend huwa tamu sana ikiwa inaanza lakini ikishafika jumapili jioni, stress huwa zinarudi upya BTW maisha yaendelee mkuu.
Dah!!! weekend huwa tamu sana ikiwa inaanza lakini ikishafika jumapili jioni, stress huwa zinarudi upya BTW maisha yaendelee mkuu.
kibovu JF-Expert Member Apr 17, 2017 661 686 Oct 16, 2020 Thread starter #4 mrundumo said: Dah!!! weekend huwa tamu sana ikiwa inaanza lakini ikishafika jumapili jioni, stress huwa zinarudi upya BTW maisha yaendelee mkuu. Click to expand... sure mkuuu ulivosema boss
mrundumo said: Dah!!! weekend huwa tamu sana ikiwa inaanza lakini ikishafika jumapili jioni, stress huwa zinarudi upya BTW maisha yaendelee mkuu. Click to expand... sure mkuuu ulivosema boss
Misako JF-Expert Member Jul 15, 2020 1,144 1,398 Oct 16, 2020 #5 kibovu said: Wadau poleni na majukum, leo ndo wikendi wadau mimi binafsi ntakuwa kiwanja kimoja kinaitwa Juliana mbezi nakula bear. Click to expand... Piga vitu mkuu, maisha yenyewe mafupi Haya.
kibovu said: Wadau poleni na majukum, leo ndo wikendi wadau mimi binafsi ntakuwa kiwanja kimoja kinaitwa Juliana mbezi nakula bear. Click to expand... Piga vitu mkuu, maisha yenyewe mafupi Haya.
Behaviourist JF-Expert Member Apr 8, 2016 39,901 95,401 Oct 16, 2020 #7 Kwangu mimi hiki kiweekend ni kibovu ile mbaya.Look at this life I still don't know where it's going!
Kwangu mimi hiki kiweekend ni kibovu ile mbaya.Look at this life I still don't know where it's going!