Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,224
- 994
He was a dumbass I guessThe guests!
Nikafungua mlango niiwa nimehamaki, nikaon wageni wamkuja na vikapu n vimfuko, nikiwa bdo na mshagao wakaingia ndani moja kwa moja. Na mimi nikaingia tukawa tumekaaa. Karibuuuu, bado sielewi elewi. Kukweli wale wadada walikuwa wazuriiiii sanaaa, kiasi kwamba huoni kasoro yao,kwa harka harak niliafuta kasoro zao sikuona kasoro. Alafu wote sasani wazuri, wamevaa vitu vya gharama, ikanikumbsha Pricilla na marafiki zake walivokwa wazuri wote.
Mmmoja wao anajibebisha hivi sauti kama Wema Sepetu style, akanikaribisha, karibuuuu dear, sisi ni mjirani zako kwenye hizi apartment, tumeona tuje tukukaribishe kijiweni, we want to be friends, unajua kuhamia seheu mpya inaboaa i was bored to death myself, ndotumeanza huo utaratibu akija mdada tunamkaribisha.
Wakatoa wine zao na vyuku kwnye vikapu wakaanza kula. Melanie, akataka kuchukua paja, wote wakamuwahi Nooooooooo! Nikawaza ana pressure nini Dr. kamwambia asile mafutaya kukaanga. Mmmmh! Dada ambae nilikuja kujua anitwa Paris akamwambia Melannie you have bad genes oky face it, una mwili wa putooo, ukila kidogo tu una bust, learn to control your self, Sisi wenye miili ya mti mkavu we can eat all we want, wherever we want and still be skinny usituige. Ukinenepeana tena hakuna atakaekusindikiza diet wala mazoezi. So weare going to eat the chicken and you gonna watch, ukuafakari why God gave you such bad genetics, ila usikufuru Beyonce also has bad genes, pesa yote alio nayo anaishi kwa proteins, Lady gaga has bad genes, Michelle Obama has bad genes too. Wanaji descipline sio kisingizio. That is what friends are for.
Meannie akarudisha kuku ile na hakula kabisaa mda wote. Wakanipa mimi, nikajiwahi. "I have bad genetics too! could be worse that Mellanie." Wakaangaliana, you look fine to us, akaiona picha ya maza ukutai, if that womn is your mother you should stick to the water, very bad genes i coudnt agree more, even wine is not good at all for you, it has sugar. If i were you and my moms genetics were like thatill get rid of the stove just not to gamble with my appetite.
Nikawauliza tu, wajitambulishe wanfanya kazi wapi na mambo kama hayo. Wakashtuka KAZIIII? Wakaangaliana, nikpewa jibu. Honey we dont wrok, we are too beautiful to work anywhere. Our work is to love and take care of our men, so that they find more money that we can chopp and never feel bad about it. They say a good man is the one who makes lot of money and a good woman is the one who can find such a man, and we did so we gotta enjoy our selves, trust me i am sure you already know finding such a man is harder than finding the money itself. WE ARE ALL LUCKY, AND ALL HAPPILY MARRIED.
I was a dummy at one point of my life but iwas not too stupid to believe they were all happily married, lika ALL is such a big word. But they looked happy, they should be happy, with all the gold they were wearing it is a sin not to be happy. Ikaanza introduction yenyewe. Mrs Maige, beloved wife and mother of 3, married to Dr. Dr. Maige (Post PHD) consultant, lecturer, and financial adviser. Mmmmmh! Nikameza mate. Mrs. Anatwar Tashabala, muke halali ya mkongo, mambo iko byeeee. Mom of of 2 boys. Mkongo kiukweli sitakagi kumuamini anafanya nini maana kwa uongo wale watu ni hatari. La muhimu najinafasi kama hivi, ananijali haijapata tokea. Akadakia mwingine Mkongo Generali wa waasi huko DRC, ooh, msione anajikandika mialmasi, za damu hizo. Hahahaaaaaaaaa! Wakacheka wote. Akaja Mrs Lukola, mom of 2 boy and girl, mama mchungaji, mke wa Askofu mkuu Tanzania. Kwa mambo kiroho nione nikukuze kiimani. kadaki mmoja, kwa mambo ya kutawanya sadaka za waumini kwenye mavazi, chakula, na starehe muone. Hahahaaa! Wakacheka. Mrs Natai, mke wa balozi, mama balozi. mama wa 2 girls. Wenzie wakadaki mumeo yuko vitani huko ana fanya diplomasia we unajitanuaa tu hapa mjini. Hahaaaa! Wakacheka wote. Wa mwisho kaja Mrs Lymo, muke ya mchaga, muke ya mangi wa kariakoo. Mbondei original, Tanga mwisho wa reli, Kugwi mstaafu. Akadakia mtu, kugwi au shangingi mstaafu, ukaibuka mjadala kungwi anatetea ukungwi wake na kukata manyonga ya hatari.
kwanza kungwi kachana msamba sakafuni K ikagusa sakafu. Afu anazungusha tu nyongaaa na kumwambia sikia we Grace Natai, mchaga ulie olewa na Masai, na walivo na mizigo mizito kwenye boxer sijui unaishije nae, nikimchukua mumeo humpati ngoooo. Kungu kabinuka samasoti mkao wa popo kanyea mbingu anaendeleza maunooo. Muke ya masai akamkomalia we Doro huna lolote kama fundi wa samasoti mbona kila siku unambadilishia mumeo waganga kumloga mchaga wa watu kawa mpaka ndondocha kamsahau mkewe na wanae anakulelea mitoto yako iliosuswa na baba zao, nyoooo! Kama kungwi kweli acha kwenda Tanga kila mwezi tuone kama hujaachika. Doro akacheka sanaaa. Hahahaaaa! Gile wewe mume anakaa nchi ingine hataki uhamie anasingizia vita kumbe kaoa, kaa hivo hivo, wanaume bila vyote ndumbaa na samasoti hawaendiii, utakuwa kama wewe, ndo ushahidi. Navopenda yale mambo wiki sijapewa naweza shikwa uchizi. Hahahaaaaa! Wakacheka wote.
Nikakubali kweli Dora kibokooo yao, tena mamba yao sio kwa samasoti zile, Maybe if we become friends nitamuomba private lessons nahisi kiuno kimekzaa kama gogo tena la mkaratusi. I have always been awkward in bed all my life. Never really had the chance to train in these matters. Maybe now is the time. I pity all the men i ever slept with, guess walivumilia mengi.
Nikiwa mawazoni nikastuliwa, na wewe! Nikastukaa sikutegemea, sio kwamba ni swali la jabu rather ni nilistushwa zaidi na jibu ambalo ningetoa lisingekuwainteresting, labda wangeniona wa ovyona pengine kughairi ushoga. Nikawa nimekaa standby Nikasema mimi ni Sidney, na sina jipya kwa kweli. Wakanikata jichooo! Sidney itakuwa umezaliwa Australia. Nikajibu ndio,nilijibu tu, hio Sydney mzee alinipa sababu alikuwa mpenzi wa novel za Sidney Sheldon, wote mimi wala yeye hakuna aliewahi kufika AUSTRALIA, tunaiona tu kwenye ramani. Wakaendelea kuuliza any husband, wife, rich boyfriend, rich sugar daddy, tell us we are not juddgy people we wont judge you honey, we are so understanding. Come girl, come clean.
Nikawa nimeshikwa kugugumizi, nikawaambiano one in mylife which was partly true. Wakanuna, so you decided to shut us out, tumekwambia mambo yetu yako unayabana. We cant be friends with you, how can we trust you, the only way we can trust each other is we tell each other everything na tunajua huwezi kusema yetu cause yako tunayajua and you wont take that risk. Anytime you are ready to share and open up unakaribishwa kwenye kikundi. Lets go girls. Wkaondoka. Nje nikiwa nawasikia wakaambiana hana mtu how can she afford this place and life like ours. She just doesnt like us.
Shiiiiiiiiiiiiiiiiiit! Nikakumbuka secondary, how i had to go to a new school alone again, Pricilla hayupo wazazi wake wamempeleka Uk kusoma. Nililia na mimi niende Uk, mzee alijieleza sina tu uwezo mwanangu, ningekuwa na hio pesa ningekupeleka, alijieleza weee wapi. Mwisho niakubali ukweli.
Siku ya kwenda secondary wiki ya kwanza yote mama ananisindikiza na daladala na kunifata saa 7. Watu walikuwa wanashangaaa what the hell. Mama hata hajali. If that was to give me confidence to go to school akawa tayari. LIFE WAS BITTER AND SWEET IN SCONDARY, I met my man. Sasa ndo ujiulize mwanaume gani alikuwa tayari kuwa na Dammy anaepelekwa shule na mama mtu.
ITAENDELEA KESHO IJUMAAA