lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
- Thread starter
- #301
Dini ni nyepesi sanaaa! Ila ni nzitooo! Lara 1 na bible zake alikuwa ananivurugaaaa tu vuuu! Kweli kabisaaa ndugu msomajiiii unaweza amini kwamba mimi WOTP naweza samehewa na Mungu! Na Mungu bado akanipendaaaa serious kabisaaaa! Baada ya kutumikia utawala wa shetaniii ngazi zoteee mpaka zile za juuu! Hukumu ya mda itaniachaaa vipi?
Ila sababu upande wa shetani nishafanya kila kituuuu! Nime kali a mpaka MIJUBILENG! Jamaniiii! Na mambo ya likuwa bila bila! For efforts ndugu wasomaji nipeni tu A! Huko kanisaniiii kutakuwa na maajabu ganiiii ya kunishindaaa mimi na Huu ukonkidizer! Hata nikiambiwaaa nilale na pastor wiki 2 Mbona jambo dogooo sanaa kwanguuu!!!
Serious ndugu wasomajiii I have already failed enough!!! I failed my parents, I failed my son, I failed my government hayati Mkapa Ali pambana sanaaa kujenga shule za sekondari, tusome bure ma Yatima! Tukasomaaa! For what? Kuja kuwa fuskaaa! I failed myself totally and completely! If there is a tinny bit of hope nipo tayari kufanya lolote na yote to change my story! Nilikuwa stage I can not even look at my parents graves Maana naona kama zinanifokeaaa!
Ule mpango wa kurekebiasha maisha yangu ulikuwa pale pale! Kwanza kuzaaa sio ugonjwa! I started eating clean! Naenda gym 4 times a week! I was working steady miezi zaidi ya 6! Nanyanyasikaaa ila sababu nishafanya maamuzi Sia chi ngoooo! Nadhani walijiuliza huyu kiumbeee Mbona suguuu! Nawajibu tu Yatima hadekiii! Tuko pamoja hapa ofisini hata mkisema nije nideki asubuhi Nita Deki!
Nikarudi kwa Lara about the church business! Nikasema niko Tayari ! Ila bado na mashaka Kama Mungu Kama Kweli kanisameheee kweliii! Isije kuwa anataka anichomeeee! Nakuja huku afu hukumuuu inaanza mapemaaaa sanaaa! Heheheee! Akaniambia nimesamehewa mimi itakuwa wewe? Mmmmmh lakini kweli ndugu msomajiii!
Namuuliza hio isharaaa tunafanyajeeee? Akasema hio bwana sio kirahisiiii rahisiii! Mungu ni neno! Ili umjue Mungu lazima ulijue neno! Hamna shortcut! kusistiza akanipa kabisaa huu mstariii Kutoka
Mathayo 15:21-28 ‘21 Na Yesu akaondoka mahali hapo akaenda sehemu za Tiro na Sidoni. 22 Mwanamke mmoja Mkanaani aliyeishi sehemu hizo akaja kwake, akamlilia, akasema, “Nihurumie, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa na pepo na anasumbuka sana.” 23 Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi wanafunzi wake wakamwendea wakamwomba, “Mwambie aende zake, kwa maana anaendelea kutupigia kelele. ” 24 Akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli wal iopotea.”
25 Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Yesu akasema, “Bwana, nisaidie!” 26 Yesu akajibu, “Si haki kuchu kua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”
Mmmmmmh! Yesu mnazaretii huyu huyu au? Nikaanza kuona hata kanisaniii sio kwepesi! Je huyu mwanamke wa Sidon sio bora kuliko mimi? Sasa yeye kajibiwa vile mimi je? Lara ananipa moyooo wewe okokaaaa! Ukiokokaaa unakuwa mwana wa Mungu! Sio mbwa tenaaa! Mmmh! Msomajiiii! Nimepatikana!
Nikasema sawa! Naanza kusoma bibliaaa kitabu cha Mwanzo! Mimi na vitabu wapi na wapi! Nikikaaa bank nasomaaa! Kwenye daladala nasomaaa! Nasikiliza you tube Tb Joshuaaa! Namsikiza Mwakasege, Sunbella, kiukweliii baada ya kusikizaaa nikawa tu addicted!
Nilivomsikiza Mungu ni mtu very reliable! Sio kama wana damu! Akisema kasemaaa! Ina maana hata akinipa hio isharaaa itakuwa permanent! Ngoja ni Endelea kufata Njia zake!
Kweli kanisaniii Kuna mambo yakeeee mengiiii! Na vibuziiii vipo vipoooo! Sema sasa ndo macho ya rohoniiii! Kiukweli vilikuwa vimechokaaa tu! The sacrifice should match the CATCH! Nimejitoaaaa sanaaaaa! Natakiwa kupataaa mtu bab kubwaaaa!
The beauty of the lord , Mungu wetu ni Mungu wa amani! Ukisikia bwana wa majeshiiiiii usipime jeshi lake! Lina SILAHAAAA zoteeeee na hatariiii mno mnoooo! Ni kutozijuaaaa tu! Ndo maana Lara kaokokaaaa! Si bure bureee! Tatizoooo loloteeee Silaha zake zipo kwenye bible!
Kuna mda boss Kama alitaka kunitakaaa hiviii wakati mimi uzinzi nimeachaaa kabisaaa! Nikakosa rahaaa kabisaaa! Lara akaniambia huyo Mbona simple sanaaa! Tunamfungaaa mdomooo! Hakutamkiii upuuzi wake! Neno lipo! Na tunaliachiaaa juu yake litamfungaaa maisha yake yoteeee!
Pia vita sio lazima uchokozwe wewe! Hata wewe unaweza kuchokoza ! Nilikaaa nikaonaaa Kwanini niishi kama mbwa ofisini wakati Baba yangu wa Mbinguni ni mfalmeee! Nikazamaa kwenye maombiii ya kibaliii ya Ester! Nimefunga 3 kavuuu! Unakunywa maji tu! Mungu mkubwaaa hata sijamalizaaa nikapandishwa cheo!
Kweli mambo ya kiroho ni magumuuu sanaaa! Ila yanapambanikaaa! Ugumu upo kwenye kuacha hilaaa za hapa na pale! Mambo ya mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie la kulia! Mambo ya USIZINI! USIIBE! USISEME UONGO! USITAMANI MWANAMKE ASIE MKEO/MUMEO NA WALIVO NONAAA SASA! Haswaaa kanisani! Cause they are bored to death! They only need invitation to treaty! Yaani wana Ngoja mtu aseme tu SUUUU! Hapo Mungu anakwambia nataka nikuinueeee! Nataka nikupe mumeo! Nataka nikupe nyumba yako! Hatariiiii!
Watu wanasema ukitaka mume okokaaa! Nikajua basi Niki ingia tu kanisaniii mwezi hauishiii nimeolewa! Na venye Bwana wa Majeshi ako na nguvu na uweza Mbona jambo Dogo sanaaa kwake! My friend that was not the case! kanisani kuna lonelier people than you can ever imagine! Waiting in vain! Bora kitaaa tunapoozanaaa kibingwa! And most marriages are neither happy ni formality tu! Usionekane umekosaaa! Maybe sikuangalia vizuriii! Nilikaaa kanisani mpaka nikaanza kufanana Na kanisaaa! Nikajiambiaaa there must be a shortcut!
Nikamfata Lara niambie shortcut! Najuaaa Ipo! Najuaaa unaijuaaaa! Anasisitiza unaweza wahi kwenye harusiii ila huwezi Foji ndoaaa! Ndoa Ina processs! Wewe unaweza Ona kusoma hio bible kujifunza ni usumbufu! Ila hushangiii watu wanapata ndoa afu wanapokonywa! Utapata haitadumuuuu! Nikamwambia cut the bullshit nipe shortcut!
Akasema well I researched after charming several pastors men and women! Believe me men pastors are easier to charm! It wasn’t easy but I got the shortcut! Nikamwambiaaa I’m ready!
Kwanza lazima ujue unakwama wapi! Itakusaidiaaa!
Kuna sababu nyingi huolewi! 1. Unachaguaaa sanaa! Wakukuoa wapo ila ndo sio chaguo! Kumbuka kwa Mungu wote sawa! Mungu anatuangalia macho ya rohoni! So kama unakwama hapa unaona wanaume wote mavimavi tu! Inabidi umuombe Mungu akuchagulie yeye na ilibakia me nae! Unaahidi umekubali na yeye at akuletee! And God being God expect anything! We unaamini Dc Joka kakosa wa kumuoa? Thubutuuuu!
2. Inawezekana tabiaaa zako! Pia ni spirits! Kiburi, jeuriiii, majivunooo, dharauuuu! Uvivu you name it! Hizi zote ni spirits! Fanya maombi Na amua kwa dhatiii kuachaaa hizi mambo!
3. Uchawiii, viapo, Lana! Hizi zinatesaa ila zikikemewa zinatokaaa! Namba 2 ni mtiti! Ushawahi ona unafanya mapmbi dhidi ya your own personality? Balaaa!
Despite the reasons Ipo njia nyepesi sanaaa! Mnooo mnooo ila ni ngumu balaaa!
Akasema Mwanamke kwenye bible ana NAFASI 3 kwa Mume!
Kwanza Kuhani! Ukijicommit utaenda kuwa kuhani wake na familia yenu mtayoanza na yake, siku zote ku muongozo katika Mungu! Mume wako huyooo! Ukizingua kwenye ahadi unaporwaaa! MABINTI wa kilokole hii mbinu wanatumiaaa hatariii! Ndo maana hawakawiiii!
Pili Nafasi ya mama! Ukazaeee sio kumeza majiraaa tu! Na kuwa na upendo wa mama yake! Upendo usio ulizaaa! Upendo wa dhatiii! Kwake Na familiaaa!
"Love is patient, love is kind. It does not envy, it does not boast, it is not proud. It does not dishonor others, it is not self-seeking, it is not easily angered, it keeps no record of wrongs." Mtume Paulo mwenyewe aliamua isiwe tabu bora asioe! Ndo utajuaaa hujuiii!
Zingatiaaaa hizooo 2 ! Ukiziwezaaa mume utapewaaaa mapemaaa! Zikikushinda hizo 2 ya 3 hutoiwezaaa kabisaaa!
Jamaniiiii! 2 zenyeweee zishaanza kunishindaaa! Nikamuuliza na ishara tunafanyajeeee!!!? Akasema ishara bwanaaa mpaka impart mtu ndo uulize Ndio au sie! Na Kama ndie upewe isharaaaa! Mmmmmhhh!
Kwa jinsi nilivokuwa nimefikiaaaa kiukweli zile nafasi 2 nilizo comity faster! How harder can they be! Na mimi mda huuu nimetakataaaa! Nawakaaaaaa! Shetani nimemkaliaaaa! Hana ujanja kwangu tenaa! Nimejirepeaaa! Mwili na rohooo! Kweli kuolewa kwa stage hiii lilikuwa jambo la wazi kabisaaaa! Naachajeeee! Simu simu zikawa kama zoteeee!
Nikarudiii jukwaani! Kwanza MMU pa Kawa hapanifaiiiii kabisaaa! Nikawa nacheza anga za Inteliency na Siasa tu! Nikizidiiiii sanaa Uchumiiii! Mimi sio mwenzenuuu tenaaa!
Mara paap! Aka ni Dm kichwa kibovuuuuu kibovuuuuuu humu ndani! Katika top 5 ya vichwa vibovuuu lazimaaa umtajeee! Nikasema oooooh shit! Huyu shetaniiii kabisaaaa kaja mchanaaa! Nikaikemeaaa ile PM!
Nikarudi kwa Lara namwambia Mbona mambo bila bila! Akasema haiwezekaniii! Ulifata manual kama nilivokwambiaaa! Namwambiaaa nimefataaa kabisaaa! Akaulizaaa hamnaaa mtu wa ajabu ajabu amekuchekiii? Mmmmmh! Nikamwambiaaa yupo ila sioooo!
Anasisitiza sasa huyo Ndio! Mmmmmmhhh wasomajiiiio wanataka kunifanya nini? Nikamwambiaaaa hapaanaaaa! Nishakemeaaaaa! Anasisitiza mtazame kwa jicho la rohoni! We unamjuaaaa Ila Mungu anamjuaaaa zaidiii yako! Usimwamini kichwa kibovuuu Muamini Mungu! Huwezi muomba makate akakupa jiwe! Mmmmmmh! Wasomajiiii hapa napigwaaa mchanaaaa kweupeeee! Nikasemaaa HAPANA!
Akasema mpe chance! Maybe muombe Mungu isharaaaa! Huweziiii juaaaa! Mmmmh! Hio ishara akiwa mwenyewe nafanyaje? Weeeeeeee! Nikawa sitaki isharaaa wala nini iwavo iwavo kichwa kibovu simtakiii! Nikamuuliza kama simtakiii inakuwajeee? Akasema haina kukataaa! Ataletwa mbele zako mpaka utakapo kubali! Weeeeeeeee! Nikamuuliza ndo kimekuuta nini? Akasema ndo manake! Mmmmmh nyie wasomajiii haya mambo sio poaaa!
Nikakakta shauri nika mjibu yule kichwa kibovuuu nimtibueeee vuuu mpaka anikateee mimi ! Maana mpaka kanitafuta Bwana kasha sema nae! Nikaingia PM! Na kumjibuuu!
ITAENDELEAAAAAAA!!!!!
Ila sababu upande wa shetani nishafanya kila kituuuu! Nime kali a mpaka MIJUBILENG! Jamaniiii! Na mambo ya likuwa bila bila! For efforts ndugu wasomaji nipeni tu A! Huko kanisaniiii kutakuwa na maajabu ganiiii ya kunishindaaa mimi na Huu ukonkidizer! Hata nikiambiwaaa nilale na pastor wiki 2 Mbona jambo dogooo sanaa kwanguuu!!!
Serious ndugu wasomajiii I have already failed enough!!! I failed my parents, I failed my son, I failed my government hayati Mkapa Ali pambana sanaaa kujenga shule za sekondari, tusome bure ma Yatima! Tukasomaaa! For what? Kuja kuwa fuskaaa! I failed myself totally and completely! If there is a tinny bit of hope nipo tayari kufanya lolote na yote to change my story! Nilikuwa stage I can not even look at my parents graves Maana naona kama zinanifokeaaa!
Ule mpango wa kurekebiasha maisha yangu ulikuwa pale pale! Kwanza kuzaaa sio ugonjwa! I started eating clean! Naenda gym 4 times a week! I was working steady miezi zaidi ya 6! Nanyanyasikaaa ila sababu nishafanya maamuzi Sia chi ngoooo! Nadhani walijiuliza huyu kiumbeee Mbona suguuu! Nawajibu tu Yatima hadekiii! Tuko pamoja hapa ofisini hata mkisema nije nideki asubuhi Nita Deki!
Nikarudi kwa Lara about the church business! Nikasema niko Tayari ! Ila bado na mashaka Kama Mungu Kama Kweli kanisameheee kweliii! Isije kuwa anataka anichomeeee! Nakuja huku afu hukumuuu inaanza mapemaaaa sanaaa! Heheheee! Akaniambia nimesamehewa mimi itakuwa wewe? Mmmmmh lakini kweli ndugu msomajiii!
Namuuliza hio isharaaa tunafanyajeeee? Akasema hio bwana sio kirahisiiii rahisiii! Mungu ni neno! Ili umjue Mungu lazima ulijue neno! Hamna shortcut! kusistiza akanipa kabisaa huu mstariii Kutoka
Mathayo 15:21-28 ‘21 Na Yesu akaondoka mahali hapo akaenda sehemu za Tiro na Sidoni. 22 Mwanamke mmoja Mkanaani aliyeishi sehemu hizo akaja kwake, akamlilia, akasema, “Nihurumie, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa na pepo na anasumbuka sana.” 23 Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi wanafunzi wake wakamwendea wakamwomba, “Mwambie aende zake, kwa maana anaendelea kutupigia kelele. ” 24 Akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli wal iopotea.”
25 Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Yesu akasema, “Bwana, nisaidie!” 26 Yesu akajibu, “Si haki kuchu kua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”
Mmmmmmh! Yesu mnazaretii huyu huyu au? Nikaanza kuona hata kanisaniii sio kwepesi! Je huyu mwanamke wa Sidon sio bora kuliko mimi? Sasa yeye kajibiwa vile mimi je? Lara ananipa moyooo wewe okokaaaa! Ukiokokaaa unakuwa mwana wa Mungu! Sio mbwa tenaaa! Mmmh! Msomajiiii! Nimepatikana!
Nikasema sawa! Naanza kusoma bibliaaa kitabu cha Mwanzo! Mimi na vitabu wapi na wapi! Nikikaaa bank nasomaaa! Kwenye daladala nasomaaa! Nasikiliza you tube Tb Joshuaaa! Namsikiza Mwakasege, Sunbella, kiukweliii baada ya kusikizaaa nikawa tu addicted!
Nilivomsikiza Mungu ni mtu very reliable! Sio kama wana damu! Akisema kasemaaa! Ina maana hata akinipa hio isharaaa itakuwa permanent! Ngoja ni Endelea kufata Njia zake!
Numbers 23:19 King James Version
19 God is not a man, that he should lie; neither the son of man, that he should repent: hath he said, and shall he not do it? or hath he spoken, and shall he not make it good?’Kweli kanisaniii Kuna mambo yakeeee mengiiii! Na vibuziiii vipo vipoooo! Sema sasa ndo macho ya rohoniiii! Kiukweli vilikuwa vimechokaaa tu! The sacrifice should match the CATCH! Nimejitoaaaa sanaaaaa! Natakiwa kupataaa mtu bab kubwaaaa!
The beauty of the lord , Mungu wetu ni Mungu wa amani! Ukisikia bwana wa majeshiiiiii usipime jeshi lake! Lina SILAHAAAA zoteeeee na hatariiii mno mnoooo! Ni kutozijuaaaa tu! Ndo maana Lara kaokokaaaa! Si bure bureee! Tatizoooo loloteeee Silaha zake zipo kwenye bible!
Kuna mda boss Kama alitaka kunitakaaa hiviii wakati mimi uzinzi nimeachaaa kabisaaa! Nikakosa rahaaa kabisaaa! Lara akaniambia huyo Mbona simple sanaaa! Tunamfungaaa mdomooo! Hakutamkiii upuuzi wake! Neno lipo! Na tunaliachiaaa juu yake litamfungaaa maisha yake yoteeee!
Joshua 6:1
Now Jericho was shut up inside and outside because of the people of Israel. None went out, and none came in.’ Kama Yerico ilivofungwa nje na ndani namfunga mdomo huyu boss nje Na ndani asiwezeee kutamkaaa haya maneno kabisaaa juu yangu! Believe it boy! He never said a word! Nadhani hata yeye alikuwa hajui Kwanini alishindwa kutamka!Pia vita sio lazima uchokozwe wewe! Hata wewe unaweza kuchokoza ! Nilikaaa nikaonaaa Kwanini niishi kama mbwa ofisini wakati Baba yangu wa Mbinguni ni mfalmeee! Nikazamaa kwenye maombiii ya kibaliii ya Ester! Nimefunga 3 kavuuu! Unakunywa maji tu! Mungu mkubwaaa hata sijamalizaaa nikapandishwa cheo!
Kweli mambo ya kiroho ni magumuuu sanaaa! Ila yanapambanikaaa! Ugumu upo kwenye kuacha hilaaa za hapa na pale! Mambo ya mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie la kulia! Mambo ya USIZINI! USIIBE! USISEME UONGO! USITAMANI MWANAMKE ASIE MKEO/MUMEO NA WALIVO NONAAA SASA! Haswaaa kanisani! Cause they are bored to death! They only need invitation to treaty! Yaani wana Ngoja mtu aseme tu SUUUU! Hapo Mungu anakwambia nataka nikuinueeee! Nataka nikupe mumeo! Nataka nikupe nyumba yako! Hatariiiii!
Watu wanasema ukitaka mume okokaaa! Nikajua basi Niki ingia tu kanisaniii mwezi hauishiii nimeolewa! Na venye Bwana wa Majeshi ako na nguvu na uweza Mbona jambo Dogo sanaaa kwake! My friend that was not the case! kanisani kuna lonelier people than you can ever imagine! Waiting in vain! Bora kitaaa tunapoozanaaa kibingwa! And most marriages are neither happy ni formality tu! Usionekane umekosaaa! Maybe sikuangalia vizuriii! Nilikaaa kanisani mpaka nikaanza kufanana Na kanisaaa! Nikajiambiaaa there must be a shortcut!
Nikamfata Lara niambie shortcut! Najuaaa Ipo! Najuaaa unaijuaaaa! Anasisitiza unaweza wahi kwenye harusiii ila huwezi Foji ndoaaa! Ndoa Ina processs! Wewe unaweza Ona kusoma hio bible kujifunza ni usumbufu! Ila hushangiii watu wanapata ndoa afu wanapokonywa! Utapata haitadumuuuu! Nikamwambia cut the bullshit nipe shortcut!
Akasema well I researched after charming several pastors men and women! Believe me men pastors are easier to charm! It wasn’t easy but I got the shortcut! Nikamwambiaaa I’m ready!
Kwanza lazima ujue unakwama wapi! Itakusaidiaaa!
Kuna sababu nyingi huolewi! 1. Unachaguaaa sanaa! Wakukuoa wapo ila ndo sio chaguo! Kumbuka kwa Mungu wote sawa! Mungu anatuangalia macho ya rohoni! So kama unakwama hapa unaona wanaume wote mavimavi tu! Inabidi umuombe Mungu akuchagulie yeye na ilibakia me nae! Unaahidi umekubali na yeye at akuletee! And God being God expect anything! We unaamini Dc Joka kakosa wa kumuoa? Thubutuuuu!
2. Inawezekana tabiaaa zako! Pia ni spirits! Kiburi, jeuriiii, majivunooo, dharauuuu! Uvivu you name it! Hizi zote ni spirits! Fanya maombi Na amua kwa dhatiii kuachaaa hizi mambo!
3. Uchawiii, viapo, Lana! Hizi zinatesaa ila zikikemewa zinatokaaa! Namba 2 ni mtiti! Ushawahi ona unafanya mapmbi dhidi ya your own personality? Balaaa!
Despite the reasons Ipo njia nyepesi sanaaa! Mnooo mnooo ila ni ngumu balaaa!
Akasema Mwanamke kwenye bible ana NAFASI 3 kwa Mume!
Kwanza Kuhani! Ukijicommit utaenda kuwa kuhani wake na familia yenu mtayoanza na yake, siku zote ku muongozo katika Mungu! Mume wako huyooo! Ukizingua kwenye ahadi unaporwaaa! MABINTI wa kilokole hii mbinu wanatumiaaa hatariii! Ndo maana hawakawiiii!
Pili Nafasi ya mama! Ukazaeee sio kumeza majiraaa tu! Na kuwa na upendo wa mama yake! Upendo usio ulizaaa! Upendo wa dhatiii! Kwake Na familiaaa!
"Love is patient, love is kind. It does not envy, it does not boast, it is not proud. It does not dishonor others, it is not self-seeking, it is not easily angered, it keeps no record of wrongs." Mtume Paulo mwenyewe aliamua isiwe tabu bora asioe! Ndo utajuaaa hujuiii!
Zingatiaaaa hizooo 2 ! Ukiziwezaaa mume utapewaaaa mapemaaa! Zikikushinda hizo 2 ya 3 hutoiwezaaa kabisaaa!
Jamaniiiii! 2 zenyeweee zishaanza kunishindaaa! Nikamuuliza na ishara tunafanyajeeee!!!? Akasema ishara bwanaaa mpaka impart mtu ndo uulize Ndio au sie! Na Kama ndie upewe isharaaaa! Mmmmmhhh!
Kwa jinsi nilivokuwa nimefikiaaaa kiukweli zile nafasi 2 nilizo comity faster! How harder can they be! Na mimi mda huuu nimetakataaaa! Nawakaaaaaa! Shetani nimemkaliaaaa! Hana ujanja kwangu tenaa! Nimejirepeaaa! Mwili na rohooo! Kweli kuolewa kwa stage hiii lilikuwa jambo la wazi kabisaaaa! Naachajeeee! Simu simu zikawa kama zoteeee!
Nikarudiii jukwaani! Kwanza MMU pa Kawa hapanifaiiiii kabisaaa! Nikawa nacheza anga za Inteliency na Siasa tu! Nikizidiiiii sanaa Uchumiiii! Mimi sio mwenzenuuu tenaaa!
Mara paap! Aka ni Dm kichwa kibovuuuuu kibovuuuuuu humu ndani! Katika top 5 ya vichwa vibovuuu lazimaaa umtajeee! Nikasema oooooh shit! Huyu shetaniiii kabisaaaa kaja mchanaaa! Nikaikemeaaa ile PM!
Nikarudi kwa Lara namwambia Mbona mambo bila bila! Akasema haiwezekaniii! Ulifata manual kama nilivokwambiaaa! Namwambiaaa nimefataaa kabisaaa! Akaulizaaa hamnaaa mtu wa ajabu ajabu amekuchekiii? Mmmmmh! Nikamwambiaaa yupo ila sioooo!
Anasisitiza sasa huyo Ndio! Mmmmmmhhh wasomajiiiio wanataka kunifanya nini? Nikamwambiaaaa hapaanaaaa! Nishakemeaaaaa! Anasisitiza mtazame kwa jicho la rohoni! We unamjuaaaa Ila Mungu anamjuaaaa zaidiii yako! Usimwamini kichwa kibovuuu Muamini Mungu! Huwezi muomba makate akakupa jiwe! Mmmmmmh! Wasomajiiii hapa napigwaaa mchanaaaa kweupeeee! Nikasemaaa HAPANA!
Akasema mpe chance! Maybe muombe Mungu isharaaaa! Huweziiii juaaaa! Mmmmh! Hio ishara akiwa mwenyewe nafanyaje? Weeeeeeee! Nikawa sitaki isharaaa wala nini iwavo iwavo kichwa kibovu simtakiii! Nikamuuliza kama simtakiii inakuwajeee? Akasema haina kukataaa! Ataletwa mbele zako mpaka utakapo kubali! Weeeeeeeee! Nikamuuliza ndo kimekuuta nini? Akasema ndo manake! Mmmmmh nyie wasomajiii haya mambo sio poaaa!
Nikakakta shauri nika mjibu yule kichwa kibovuuu nimtibueeee vuuu mpaka anikateee mimi ! Maana mpaka kanitafuta Bwana kasha sema nae! Nikaingia PM! Na kumjibuuu!
ITAENDELEAAAAAAA!!!!!