M
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Wikendi spesho mie nna swali tu ambalo napenda kujibiwa !
Hivi kwa nini utakuta kijana mdogo wa kiume lakini anaenda sehemu kwenye mtandao anajiandikisha jina la kike ? Unadhani baada ya miaka 2-4 huyu mwanamme si ana chance kubwa ya kuwa gay/msenge ? mnaonaje kuhusu hilo jamani.
Wikendi spesho mie nna swali tu ambalo napenda kujibiwa !
Hivi kwa nini utakuta kijana mdogo wa kiume lakini anaenda sehemu kwenye mtandao anajiandikisha jina la kike ? Unadhani baada ya miaka 2-4 huyu mwanamme si ana chance kubwa ya kuwa gay/msenge ? mnaonaje kuhusu hilo jamani.
Teh teh teh teh mkuu umepiga Ikulu hapo....
..alipenda kuwa binti!
..au ana madada kibao kiasi kwamba wamempa jina la kike,hilo analotumia!
..anataka kujua siri za kina dada,kwa kujifanya yeye naye dada!
..ana matatizo ya kisaikolojia!
..anataka kutongozwa,aone utamu wake[wa kutongozwa]!
nimekuelewa yakhe, basi inabidi nimtume mtu ili apate kusikilizia kuona what it feels like maana mabaradhuli kuongezeka kila siku nishai bana !
..hata we mwenyewe!
..ukilishika chungwa si lazima ulimenye!
..na ukilimenya si lazima ulitafune!.....na kulimeza!
btw,mambo uyaone first hand!ndo utamu wake!
duh,thats waaaaayyyyyyyyyyyyy NASTY ! wewe mtu wa .........nini ? maana hiyo miji yote hapo uliyoitaja inanifanya niwe na shaka na ww !
duh na ulivyosema kwa huo mtiririko inaelekea wee mtaalamu mambo fulani ! lets not go there tho.
kukong'oli hadi ligando ! basi nshajua wee ntu wa wapi !
wee dar si lamu, subiri kwanza nimtafute brazameni aje hapa maana leo ijumaa, kesho jumamosi si unajua tena !
naenda kupumzika bidae tutawasiliana Mungu akipenda !
Wikendi spesho mie nna swali tu ambalo napenda kujibiwa !
Hivi kwa nini utakuta kijana mdogo wa kiume lakini anaenda sehemu kwenye mtandao anajiandikisha jina la kike ? Unadhani baada ya miaka 2-4 huyu mwanamme si ana chance kubwa ya kuwa gay/msenge ? mnaonaje kuhusu hilo jamani.
Sioni kama ni tatizo kwa mtu kuwa gay/msenge. hiyo ni choice ya mtu binafsi na tunatakiwa tuiheshimu. watanzania wengi tuna tatizo la kuwa wanafiki linapokuja suala la usenge, lakini ukipewa nyuma 'kama sunna' unachekelea! Hata kwenye kitchen party imo hiyo!Wikendi spesho mie nna swali tu ambalo napenda kujibiwa !
Hivi kwa nini utakuta kijana mdogo wa kiume lakini anaenda sehemu kwenye mtandao anajiandikisha jina la kike ? Unadhani baada ya miaka 2-4 huyu mwanamme si ana chance kubwa ya kuwa gay/msenge ? mnaonaje kuhusu hilo jamani.
Kada,
Huyo anaonea gere attention wanayopata akina Mwafrika wa Kike, anataka na yeye afaidi kidogo. Si unaona Nyani akiwasiliani
na Mwafrika wa Kike hata lugha huwa inabadilika? Kwi kwi kwi kwi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hili swali mkuu chanzo chake ni nini?
Sioni kama ni tatizo kwa mtu kuwa gay/msenge. hiyo ni choice ya mtu binafsi na tunatakiwa tuiheshimu. watanzania wengi tuna tatizo la kuwa wanafiki linapokuja suala la usenge, lakini ukipewa nyuma 'kama sunna' unachekelea! Hata kwenye kitchen party imo hiyo!
Sioni kama ni tatizo kwa mtu kuwa gay/msenge. hiyo ni choice ya mtu binafsi na tunatakiwa tuiheshimu. watanzania wengi tuna tatizo la kuwa wanafiki linapokuja suala la usenge, lakini ukipewa nyuma 'kama sunna' unachekelea! Hata kwenye kitchen party imo hiyo!
Hmmm! Hii kali tumheshimu mwanaume mzima kwa kufanya kitendo cha kifirauni ambacho katika jamii nyingi hapa duniani hakikubaliki! Kipi hasa cha kumheshimu mtu kama huyu!? Hebu naomba nieleweshwe!