Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Weekend ndio hiyo imeanza naona watumishi wamekaangwa magu kaondoka na funguo za hazina kulipa mshahara mpaka ageuke,
Wale watafutaji wenzangu uko wapi weekend hii na unakula bata na nani?
Mimi leo nipo gheto mpaka mida hii ila nategemea kutoka muda si mrefu niende Zangu Club 7 (Seven) kuna kiumbe yupo kule namfata akitika narudi nae gheto nijilie vyangu.
Cc Zero IQ
Wale watafutaji wenzangu uko wapi weekend hii na unakula bata na nani?
Mimi leo nipo gheto mpaka mida hii ila nategemea kutoka muda si mrefu niende Zangu Club 7 (Seven) kuna kiumbe yupo kule namfata akitika narudi nae gheto nijilie vyangu.
Cc Zero IQ