Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,216
- 78,162
kwani kuna fomula ya kutongoza?
Maneno mazuri ni yale yanayotoka kwa mtu mwenyewe hata kama ni mawili tu badala ya daftari zima la copy and paste!
Ni kweli kabisa Lizzy. nakumbuka birthday yangu iliyopita husband alinunua plain card na kuandika maneno yake... akaniambia hayo ndo yametoka moyoni mwake, ni maneno ambayo alitaka kuniambia kwa siku ile, hakutaka kuchukua maneno ambayo yamesemwa na mwingine.... I cried!
Hi bacha!!!
kwa nini tunapendelea maneno ya kingereza na siyo kiswahili?
ngumu kumeza ntayatema tu.Mi napenda ya kiswahili hata yale makali sana wala sijali
ngumu kumeza ntayatema tu.
marytina ngumu kumesa aisee