Mkuu Igunga lazima nilpate raha kwa CDM kupeta.Pole mkuu ingawa tunashirikiana maumivu ya Arsenal lakini tunapishana kwa maumivu ya Yanga na matumaini yako kupewa raha na Magwanda. Nadhani ungeandaa ndoo ya kukingia machozi kabisa kwa matokeo ya Igunga!
Poa,kule ni kukomaa sana kama walivyofanaya Arusha na Nyamagana/Ilemela.Wameshaanza kuorodhesha w/kura ili wakwibe.kaka na kwangu kama kwako ila igunga tuombee hawa wachakachuaji waliokubuhu mungu awatie upofu siku hiyo ili tupooze mtima.
siku njema.
mkuu wewe kila kitu kama mimi ni mbaya sana kwakweli! everything was bad mkuu!Mimi na-declare interests kwamba ni mnazi wa kutupwa wa Yanga S.C. na Arsenal F.C. Week end iliyopita walininiyma raha kabisa.Nawasubiri CDM wanitoe kimasomaso Igunga.Ni hayo tu bandugu.
jiandae kuzikwa kabisa kidumu chama cha milelemimi na-declare interests kwamba ni mnazi wa kutupwa wa yanga s.c. Na arsenal f.c. Week end iliyopita walininiyma raha kabisa.nawasubiri cdm wanitoe kimasomaso igunga.ni hayo tu bandugu.
Ukiwa na addiction ya kitu ni noma mkuu.Huwa naogopa kuwa mshabiki wa mpira, naona watu mtaani wanavyopata tabu. Pole sana.
Umemwajiri au umeajiriwa hapo bar?Meneja wangu wa bar aliondoka na hela ya mauzo ya weekend. Kiasi ni siri yangu.
powa mkuu.Mi ilikuwa nzuri sana nilikuwa kwenye harusi ya Stephano Kiwelu, ilikuwa bomba sana hivyo nilibarikiwa sana hii weekend.
nimeamini una balaaa arsenal chali,cdm ,,,,,,,, kidumu chama cha milelemimi na-declare interests kwamba ni mnazi wa kutupwa wa yanga s.c. Na arsenal f.c. Week end iliyopita walininiyma raha kabisa.nawasubiri cdm wanitoe kimasomaso igunga.ni hayo tu bandugu.
Bebii nini tena,mie nina machungu unaniambia chama cha milele.........!nimeamini una balaaa arsenal chali,cdm ,,,,,,,, kidumu chama cha milele
Poa kwa kumtukuza Mungu mkuu.wikiendi yangu ilikuwa yenye kazi nyingi, ila nilifanikiwa kwenda jumuiya, kwaya, msibani then kanisani. hakukuwa na muda wa kupumzika kabisa.