Week end Special

Shantel

JF-Expert Member
Feb 7, 2011
2,018
1,129
Just because you know someone doesnt mean you love them,
And just because you don't know people doesn't mean you cant love them,
You can still fall in love with a complete stranger in a heartbeat,
kama Mungu amepanga itokee kwako

So marafiki fungua moyo wako huwezi jua Mungu amepanga nini kwako
cause he may throw that pass to you, lakini pia kuwa Mwangalifu ....

jiulize rafiki, je moyo wako hujawahi kwenda mbio kwa mtu usiyemfahamu
Unaweza tu msikia sauti, unaweza mwona kwa picha, unaweza ona tu michango
yake hata humuhumu jf.....mhhhh yote haya ni juu ya nini??? ni juu ya mapenzi

Kwa kumalizia kumbuka kuvutiwa , kupenda , kutamani huwa hakuangalii kama
una mchumba, mke, mme au rafiki tu wa kawaida, huwa inatokea tu kwa mtu
yeyote

sasa nawauliza marafiki, ikikutokea huwa unachukuliaje????
week end njema
 
Kwa kumalizia kumbuka kuvutiwa , kupenda , kutamani huwa hakuangalii kama
una mchumba, mke, mme au rafiki tu wa kawaida, huwa inatokea tu kwa mtu
yeyote

A major factor in people's licentious behavior especially to those in committed relationships.
 
jiulize rafiki, je moyo wako hujawahi kwenda mbio kwa mtu usiyemfahamu
Unaweza tu msikia sauti, unaweza mwona kwa picha, unaweza ona tu michango
yake hata humuhumu jf.....mhhhh yote haya ni juu ya nini??? ni juu ya mapenzi

Shantel........nitarudi baadae.......
 
A major factor in people's licentious behavior especially to those in committed relationships.
So you think those words are there because people are so immoral nowadays
Kuwa na hizo ni feelings tu, sio kwamba mtu anafata anavojisikia, anajisikiza na kujiuliza
kwa nini ajisikie hivo, wewe haijawahi kukutokea kwa namna yoyote?na kama
ilikutokea ulichukua hatua gani?
 
Shantel........nitarudi baadae.......
hahahahaha....We changia bana sasa hivi kwani haina uhalisia?????? si umeona ile thread?
ulipoiona hujajiuliza maswali????
 
Kwa kumalizia kumbuka kuvutiwa , kupenda , kutamani huwa hakuangalii kama
una mchumba, mke, mme au rafiki tu wa kawaida, huwa inatokea tu kwa mtu
yeyote

sasa nawauliza marafiki, ikikutokea huwa unachukuliaje????
week end njema


mhhh sometime nature takes its place
U just admire and leave or u just admire and take a further step but with conscious
Or u just admire, take a step further and believe that nothing will happen
Or u just admire, take a step and suffer the consequences

to me natamani, na then namshukuru Mungu kwa uumbaji wake na kuendelea na mambo yangu
Sijui nimeenda chaka
 
Kwa kumalizia kumbuka kuvutiwa , kupenda , kutamani huwa hakuangalii kama
una mchumba, mke, mme au rafiki tu wa kawaida, huwa inatokea tu kwa mtu
yeyote

sasa nawauliza marafiki, ikikutokea huwa unachukuliaje????
week end njema


mhhh sometime nature takes its place
U just admire and leave or u just admire and take a further step but with conscious
Or u just admire, take a step further and believe that nothing will happen
Or u just admire, take a step and duffer the consequences

to me natamani, na then namshukuru Mungu kwa uumbaji wake na kuendelea na mambo yangu
Sijui nimeenda chaka
Wala hujaenda chaka, kwa hiyo kutamani ni nature ya sie binadamu?
 
So you think those words are there because people are so immoral nowadays
Kuwa na hizo ni feelings tu, sio kwamba mtu anafata anavojisikia, anajisikiza na kujiuliza
kwa nini ajisikie hivo, wewe haijawahi kukutokea kwa namna yoyote?na kama
ilikutokea ulichukua hatua gani?

All actions are preceded by thoughts and if you abandon yourself to such thoughts then it is more than likely that one day you will act on them.

The challenging part is to overcome them consistently and thoroughly. This is where most people fail, IMHO.
 
Wala hujaenda chaka, kwa hiyo kutamani ni nature ya sie binadamu?

Ni nature na sidhani kama kuna kiumbe asiyetamani
Kuna kutamani ambako ni kubaya yaani mtu anajiapiza ni lazima nikipate kile ambacho ametamani
Kuna mwingine anaadmire na kumshukuru Mungu kwa uumbaji wake na kuacha mambo yaendelee kama yalivyo
Ila sasa wabaya ni wale wanaosema ni lazima nikipate hajali matokeo ya kutamani kwake wala hajali kama kiko possessed au hakikamatiki
 
Ndio Shantel ni kweli unaweza kumpa nafasi total stranger na ukashangaa muujiza utakaotokea
unaweza ukawa na uhusiano na mwanaume ambaye unamjua nafikiri tangu mdogo sana na mkakua wote, then mkawa na uhusiano
, mkafail kabisa kwa sababu zisizoeleweka, then akatokea total stranger, ukampa nafasi aaaaaaaaah the rest inakuwa history
mimi ni mfano tosha sana,yaani raha kamili kila mahali
 
Ndio Shantel ni kweli unaweza kumpa nafasi total stranger na ukashangaa muujiza utakaotokea
unaweza ukawa na uhusiano na mwanaume ambaye unamjua nafikiri tangu mdogo sana na mkakua wote, then mkawa na uhusiano
, mkafail kabisa kwa sababu zisizoeleweka, then akatokea total stranger, ukampa nafasi aaaaaaaaah the rest inakuwa history
mimi ni mfano tosha sana,yaani raha kamili kila mahali

Is he "tough in wallet"?
 
Ni nature na sidhani kama kuna kiumbe asiyetamani
Kuna kutamani ambako ni kubaya yaani mtu anajiapiza ni lazima nikipate kile ambacho ametamani
Kuna mwingine anaadmire na kumshukuru Mungu kwa uumbaji wake na kuacha mambo yaendelee kama yalivyo
Ila sasa wabaya ni wale wanaosema ni lazima nikipate hajali matokeo ya kutamani kwake wala hajali kama kiko possessed au hakikamatiki
Yah hii ina aply kwa watu wenye uhusiano, lakini kwa single ambae anatafuta uhusiano si vibaya kudate na ikitokea humjui mtu
pia si vibaya kujaribu sababu huwezi jua what is in store......hapo ndio singles wanajimwaga tu...mwanzo wa uhusiano ni kutamani
kama sikosei
 
All actions are preceded by thoughts and if you abandon yourself to such thoughts then it is more than likely that one day you will act on them.

The challenging part is to overcome them consistently and thoroughly. This is where most people fail, IMHO.
Thanks NN and how can someone overcome those thoughts, kwa faida ya wote pleeeeease
 
Yah hii ina aply kwa watu wenye uhusiano, lakini kwa single ambae anatafuta uhusiano si vibaya kudate na ikitokea humjui mtu
pia si vibaya kujaribu sababu huwezi jua what is in store......hapo ndio singles wanajimwaga tu...mwanzo wa uhusiano ni kutamani
kama sikosei
Sasa kwenye simu na net unawezaje kutamani kwanza ili uendelee na process ingine au kuna kitu more than kutamani?
 
Just because you know someone doesnt mean you love them,
And just because you don't know people doesn't mean you cant love them,
You can still fall in love with a complete stranger in a heartbeat,
kama Mungu amepanga itokee kwako

So marafiki fungua moyo wako huwezi jua Mungu amepanga nini kwako
cause he may throw that pass to you, lakini pia kuwa Mwangalifu ....

jiulize rafiki, je moyo wako hujawahi kwenda mbio kwa mtu usiyemfahamu
Unaweza tu msikia sauti, unaweza mwona kwa picha, unaweza ona tu michango
yake hata humuhumu jf.....mhhhh yote haya ni juu ya nini??? ni juu ya mapenzi

Kwa kumalizia kumbuka kuvutiwa , kupenda , kutamani huwa hakuangalii kama
una mchumba, mke, mme au rafiki tu wa kawaida, huwa inatokea tu kwa mtu
yeyote

sasa nawauliza marafiki, ikikutokea huwa unachukuliaje????
week end njema

Dah! Shantel huu ujumbe leo mbona mzito sana?!! Mmmh.....embu ngoja niutafakari kwanza!
 
Thanks NN and how can someone overcome those thoughts, kwa faida ya wote pleeeeease

First and foremost, you can conquer those thoughts through sheer willpower. In my opinion, this is an inborn trait, not an acquired one. Therefore, you either have it or you don't.

By working with what is already there (willpower), you can now engage the power of reason by being considerate to your other half. You put yourself in his or her shoes and think of how you would feel if the tables were turned. If you end up not liking it if it were you on the other end of the stick then you apply the golden rule. So trying to live by the Golden Rule is another way to overcome temptation(s).

Another thing is to set very high moral standards for yourself. I am not a religious person but I do agree with most of the so-called god's ten commandments. I think most of them are very good moral instructions that if you try your best to adhere to them then I have no doubt that you will live a life of unimpeachable integrity.

Last but not least, be true to yourself. Don't try to be whom you are not. Just be you and 'do' you!
 
Back
Top Bottom