Week end njema wakuu

Baada ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa kwa week nzima sasa napenda kuwaaga kwa kusema.....'thank God its friday'...ngoja niwahi familia
duh!!
wengine hatutamani hiyo wikiend maana nni kero tupu
yaan ntaenda misa ya asubuhi na jioni as nikikaa mtaa ntakuwa nawekewa pilipili machoni
 
duh!!
wengine hatutamani hiyo wikiend maana nni kero tupu
yaan ntaenda misa ya asubuhi na jioni as nikikaa mtaa ntakuwa nawekewa pilipili machoni

usijali yote ni katika kutimiza majukumu
 
na wewe pia kwa hiyo hutweza kupost tena mpaka j3..ila tutakumis sana mkuu igwe
 
Back
Top Bottom