Week 3 Porini wanaume watatu tuna Demu mmoja tu wa kumla.Alipata shida sana dada wa watu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,274
23,050
Mwaka 2003 sitosahau katika kijiji kimoja huko Arusha ndani ndani hasa.kama unapafaham Endulen Tulikuwa tumeenda kikazi tukawa na dereva wetu na dada mmoja mrembo sana wa kizigua.

Tulienda kikazi muda wa week tatu nzima demu alikuwa single na sisi pia ready to mingle.katika huo mradi yeye aliletwa na moja ya mashirika washika dau.kwenye kampuni yetu tulitoka watu watatu.mmoja akiwa dereva mimi na jamaa mmoja alikuwa mtaalam wa kuorganize field na research.

Bas tukapiga kambi huko porini maana hamna guest house wala hotel.ni porini hasa tunalala kwenye tents.tumetoka dar wote tupo ndani ya VX tunaelekea arusha tunauza uza chai hapa na pale njian.yule demu alikaa mbele mimi na jamaa mmoja tukakaa nyuma.

Shida ilianzia arusha mjin tulipolala siku ya kwanza.tumechukua hotel yule dada alipata chumba cha katikati yetu.mimi kulia jamaa yangu kushoto dereva mbele. Tukasema tukale pamoja baada ya kula kila mtu akaagiza kinywaji tukaanza kupiga maji. Ikawa imefika mpaka saa saba watu tunategeana kwenda kulala.kila mtu anataka abaki na yule dada amwimbishe.na dada ameshajinywea St Anna zake kadhaa macho yamemlegea.maana wale wenzangu walikuwa wanashindana tu kumnunulia.

Imefika saa saba wote tumekomaa naye, saa nane...wote tumekomaa mwisho akaamua kusema anaenda kulala wote tukajifanya kushtuka"eeeeh kumbe muda umeenda" basi tukainuka tukamsindikiza akaingia kwake.

Kumbe issue bado mbichi kabisa.tumeingia vyumban baada ya nusu saa nkatoka nikakuta jamaa yangu naye yupo mlangon kwake.dereva naye akafungua mlango wote tukawa koridon kumbe tunammendea yule dada wa watu.

Basi nikajifanya nmesikia kama kuna mtu anagonga kwa rose nikahis mlev jamaa nao wakasema hivyo hivyo.bas tukakaa kama dk 5 kutegeana nani arud room kwanza.nikaona ujinga nikarud.

Baada ya kama dk 40 tena nikatoka na jamaa nao wakafungua mlango.nikauliza jamaa kama ana sigara akashtuka sana" bro umeanza lini kuvuta sigara?" Nikamwambia nasikia huwa zinasaidia kuleta usingzi mi naona umekata kabisa. Akanijibu "aaahh sasa ukisinzia na fegi bro si utaunguza hotel ya watu" aisee... Nlijisikia vibaya.akasema ye hana alitaka muuliza dereva kama anayo maana ye barid inamtesa.

Kushtuka kumekucha na yule demu ndo alikuja kutumsha sisi wawili kasoro dereva yeye aliwah ili kukagua gar n.k

Basi tukaliamsha kuelekea karatu.mida mida tukawa karatu na baadaye Endulen jioni sana. Usiku ilikuwa shida yule dada kila unapotafuta nafasi ya kumweka sawa naye mjanja ana stories nyng kabla hujamaliza anakuja mwnzio naye kukuvurugia utulivu.usiku ilikuwa yeye ndo anaamua tulale saa ngap. Maana asipoenda yeye kulala sisi wengine tunasinzia huku tunaota moto.tunakomaa naye tu.ila akisema "usiku mwaka jaman" utasikia na wewe pia uote ndoto njema halaf njemba wote tunaamka kuelekea kwenye tents zetu.nikaona ujinga huo.nikaachana na hizo mbio. Wakabak jamaa wawil kila mtu anataka avute mzigo mpaka yule dem akashtukia.mi nikawa najifanya kama si mind uzuri wake.basi akaona mimi ndo gentleman hasa na nina mheshimu.akawa karibu sana nami.sometime akienda kupooh kichakan anaomba nimsindikize au akienda kukojoa.

Nlikuwa napenda sana kwenda kuangalia chini alipokojoa palivyo na ile alama. Ila akienda kupooh alikuwa anafukia.tulikuwa na kijembe kidogo cha kuchimbia na kuhifadhi mbolea ardhin.

Mpaka tumemaliza week 3 yule demu alitutesa na wote hatukuona ndani tukaishia kuchora tu.mi nlikuja kumkamata tukiwa tumerud dar mwez mmoja baadaye.nikamsimulia ile situation alicheka mpaka machoz kumtoka anasema alihisi tu kuwa kule town tungetaka kumla nyama.na aliapa hatoliwa nyama kule na yeyote yule ili tumheshimu.

Jamaa zangu walipokuja jua nmemla walini mind sana huku wakinitukana kishkaj ila walimkubal sana yule dada.next time walipendekeza tunapoenda kikaz namna hiyo tubalance equation ili kuepuka majanga yanayoweka kutokea. Mnaweza uana hiv hivi. Ugomv mkubwa wa wanaume ni mademu na pesa.uliza duniani kote.
 
aisee, noma sana mimi nilikuwa fundi bomba ktk kota za wajeda wa kike, niliyokuwa nakutana nayo huko shetani huwa anatabasamu akikumbuka
Kaka embu hadithia hayo mashaibu ulivyo kumbana nayo...
Mie wadada wa kijeda nawazimia sana
Sema wengi ninao kutana nao wameolewa so nawa potezea
 
Tulimsumbua sana. Na alijua kuwa anatakiwa kuliwa na sisi wanaume watatu.

Sasa heading yako vipi mkuu? Aliyepata shida mbona ni nyie sasa hizo week 3 na sio huyo dada? Badilisha heading isomeke nyie ndio mlipata shida
 
Mwaka 2003 sitosahau katika kijiji kimoja huko Arusha ndani ndani hasa.kama unapafaham Endulen Tulikuwa tumeenda kikazi tukawa na dereva wetu na dada mmoja mrembo sana wa kizigua.

Tulienda kikazi muda wa week tatu nzima demu alikuwa single na sisi pia ready to mingle.katika huo mradi yeye aliletwa na moja ya mashirika washika dau.kwenye kampuni yetu tulitoka watu watatu.mmoja akiwa dereva mimi na jamaa mmoja alikuwa mtaalam wa kuorganize field na research.

Bas tukapiga kambi huko porini maana hamna guest house wala hotel.ni porini hasa tunalala kwenye tents.tumetoka dar wote tupo ndani ya VX tunaelekea arusha tunauza uza chai hapa na pale njian.yule demu alikaa mbele mimi na jamaa mmoja tukakaa nyuma.

Shida ilianzia arusha mjin tulipolala siku ya kwanza.tumechukua hotel yule dada alipata chumba cha katikati yetu.mimi kulia jamaa yangu kushoto dereva mbele. Tukasema tukale pamoja baada ya kula kila mtu akaagiza kinywaji tukaanza kupiga maji. Ikawa imefika mpaka saa saba watu tunategeana kwenda kulala.kila mtu anataka abaki na yule dada amwimbishe.na dada ameshajinywea St Anna zake kadhaa macho yamemlegea.maana wale wenzangu walikuwa wanashindana tu kumnunulia.

Imefika saa saba wote tumekomaa naye, saa nane...wote tumekomaa mwisho akaamua kusema anaenda kulala wote tukajifanya kushtuka"eeeeh kumbe muda umeenda" basi tukainuka tukamsindikiza akaingia kwake.

Kumbe issue bado mbichi kabisa.tumeingia vyumban baada ya nusu saa nkatoka nikakuta jamaa yangu naye yupo mlangon kwake.dereva naye akafungua mlango wote tukawa koridon kumbe tunammendea yule dada wa watu.

Basi nikajifanya nmesikia kama kuna mtu anagonga kwa rose nikahis mlev jamaa nao wakasema hivyo hivyo.bas tukakaa kama dk 5 kutegeana nani arud room kwanza.nikaona ujinga nikarud.

Baada ya kama dk 40 tena nikatoka na jamaa nao wakafungua mlango.nikauliza jamaa kama ana sigara akashtuka sana" bro umeanza lini kuvuta sigara?" Nikamwambia nasikia huwa zinasaidia kuleta usingzi mi naona umekata kabisa. Akanijibu "aaahh sasa ukisinzia na fegi bro si utaunguza hotel ya watu" aisee... Nlijisikia vibaya.akasema ye hana alitaka muuliza dereva kama anayo maana ye barid inamtesa.

Kushtuka kumekucha na yule demu ndo alikuja kutumsha sisi wawili kasoro dereva yeye aliwah ili kukagua gar n.k

Basi tukaliamsha kuelekea karatu.mida mida tukawa karatu na baadaye Endulen jioni sana. Usiku ilikuwa shida yule dada kila unapotafuta nafasi ya kumweka sawa naye mjanja ana stories nyng kabla hujamaliza anakuja mwnzio naye kukuvurugia utulivu.usiku ilikuwa yeye ndo anaamua tulale saa ngap. Maana asipoenda yeye kulala sisi wengine tunasinzia huku tunaota moto.tunakomaa naye tu.ila akisema "usiku mwaka jaman" utasikia na wewe pia uote ndoto njema halaf njemba wote tunaamka kuelekea kwenye tents zetu.nikaona ujinga huo.nikaachana na hizo mbio. Wakabak jamaa wawil kila mtu anataka avute mzigo mpaka yule dem akashtukia.mi nikawa najifanya kama si mind uzuri wake.basi akaona mimi ndo gentleman hasa na nina mheshimu.akawa karibu sana nami.sometime akienda kupooh kichakan anaomba nimsindikize au akienda kukojoa.

Nlikuwa napenda sana kwenda kuangalia chini alipokojoa palivyo na ile alama. Ila akienda kupooh alikuwa anafukia.tulikuwa na kijembe kidogo cha kuchimbia na kuhifadhi mbolea ardhin.

Mpaka tumemaliza week 3 yule demu alitutesa na wote hatukuona ndani tukaishia kuchora tu.mi nlikuja kumkamata tukiwa tumerud dar mwez mmoja baadaye.nikamsimulia ile situation alicheka mpaka machoz kumtoka anasema alihisi tu kuwa kule town tungetaka kumla nyama.na aliapa hatoliwa nyama kule na yeyote yule ili tumheshimu.

Jamaa zangu walipokuja jua nmemla walini mind sana huku wakinitukana kishkaj ila walimkubal sana yule dada.next time walipendekeza tunapoenda kikaz namna hiyo tubalance equation ili kuepuka majanga yanayoweka kutokea. Mnaweza uana hiv hivi. Ugomv mkubwa wa wanaume ni mademu na pesa.uliza duniani kote.
Daaaah....Htr sana mkuu
 
Nimekuja mbio nikajua unatusimulia hiyo threesome ilivyokuwa!
Kumbe nyi wanaume ndio mlipata shida!!!!!
 
Mwaka 2003 sitosahau katika kijiji kimoja huko Arusha ndani ndani hasa.kama unapafaham Endulen Tulikuwa tumeenda kikazi tukawa na dereva wetu na dada mmoja mrembo sana wa kizigua.

Tulienda kikazi muda wa week tatu nzima demu alikuwa single na sisi pia ready to mingle.katika huo mradi yeye aliletwa na moja ya mashirika washika dau.kwenye kampuni yetu tulitoka watu watatu.mmoja akiwa dereva mimi na jamaa mmoja alikuwa mtaalam wa kuorganize field na research.

Bas tukapiga kambi huko porini maana hamna guest house wala hotel.ni porini hasa tunalala kwenye tents.tumetoka dar wote tupo ndani ya VX tunaelekea arusha tunauza uza chai hapa na pale njian.yule demu alikaa mbele mimi na jamaa mmoja tukakaa nyuma.

Shida ilianzia arusha mjin tulipolala siku ya kwanza.tumechukua hotel yule dada alipata chumba cha katikati yetu.mimi kulia jamaa yangu kushoto dereva mbele. Tukasema tukale pamoja baada ya kula kila mtu akaagiza kinywaji tukaanza kupiga maji. Ikawa imefika mpaka saa saba watu tunategeana kwenda kulala.kila mtu anataka abaki na yule dada amwimbishe.na dada ameshajinywea St Anna zake kadhaa macho yamemlegea.maana wale wenzangu walikuwa wanashindana tu kumnunulia.

Imefika saa saba wote tumekomaa naye, saa nane...wote tumekomaa mwisho akaamua kusema anaenda kulala wote tukajifanya kushtuka"eeeeh kumbe muda umeenda" basi tukainuka tukamsindikiza akaingia kwake.

Kumbe issue bado mbichi kabisa.tumeingia vyumban baada ya nusu saa nkatoka nikakuta jamaa yangu naye yupo mlangon kwake.dereva naye akafungua mlango wote tukawa koridon kumbe tunammendea yule dada wa watu.

Basi nikajifanya nmesikia kama kuna mtu anagonga kwa rose nikahis mlev jamaa nao wakasema hivyo hivyo.bas tukakaa kama dk 5 kutegeana nani arud room kwanza.nikaona ujinga nikarud.

Baada ya kama dk 40 tena nikatoka na jamaa nao wakafungua mlango.nikauliza jamaa kama ana sigara akashtuka sana" bro umeanza lini kuvuta sigara?" Nikamwambia nasikia huwa zinasaidia kuleta usingzi mi naona umekata kabisa. Akanijibu "aaahh sasa ukisinzia na fegi bro si utaunguza hotel ya watu" aisee... Nlijisikia vibaya.akasema ye hana alitaka muuliza dereva kama anayo maana ye barid inamtesa.

Kushtuka kumekucha na yule demu ndo alikuja kutumsha sisi wawili kasoro dereva yeye aliwah ili kukagua gar n.k

Basi tukaliamsha kuelekea karatu.mida mida tukawa karatu na baadaye Endulen jioni sana. Usiku ilikuwa shida yule dada kila unapotafuta nafasi ya kumweka sawa naye mjanja ana stories nyng kabla hujamaliza anakuja mwnzio naye kukuvurugia utulivu.usiku ilikuwa yeye ndo anaamua tulale saa ngap. Maana asipoenda yeye kulala sisi wengine tunasinzia huku tunaota moto.tunakomaa naye tu.ila akisema "usiku mwaka jaman" utasikia na wewe pia uote ndoto njema halaf njemba wote tunaamka kuelekea kwenye tents zetu.nikaona ujinga huo.nikaachana na hizo mbio. Wakabak jamaa wawil kila mtu anataka avute mzigo mpaka yule dem akashtukia.mi nikawa najifanya kama si mind uzuri wake.basi akaona mimi ndo gentleman hasa na nina mheshimu.akawa karibu sana nami.sometime akienda kupooh kichakan anaomba nimsindikize au akienda kukojoa.

Nlikuwa napenda sana kwenda kuangalia chini alipokojoa palivyo na ile alama. Ila akienda kupooh alikuwa anafukia.tulikuwa na kijembe kidogo cha kuchimbia na kuhifadhi mbolea ardhin.

Mpaka tumemaliza week 3 yule demu alitutesa na wote hatukuona ndani tukaishia kuchora tu.mi nlikuja kumkamata tukiwa tumerud dar mwez mmoja baadaye.nikamsimulia ile situation alicheka mpaka machoz kumtoka anasema alihisi tu kuwa kule town tungetaka kumla nyama.na aliapa hatoliwa nyama kule na yeyote yule ili tumheshimu.

Jamaa zangu walipokuja jua nmemla walini mind sana huku wakinitukana kishkaj ila walimkubal sana yule dada.next time walipendekeza tunapoenda kikaz namna hiyo tubalance equation ili kuepuka majanga yanayoweka kutokea. Mnaweza uana hiv hivi. Ugomv mkubwa wa wanaume ni mademu na pesa.uliza duniani kote.
Niliwahi ishi Endulen zamani sana wakati Mzee alipokuwa ana-operate carterpila kuchonga barabara za Ngorongoro!
 
44 Reactions
Reply
Back
Top Bottom