Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,145
- 79,286
Hivi jamani mambo ya IT yametupitia kushoto? mbona website za SUA na MUCCOBS badala ya kuboreshwa zinazidi kuwa na quality mbaya na ya kutoridhisha? au ndo mambo ya kupeana tenda? kweli inakera jamani tujitangaze kwenye hii karne ya utandawazi na teknohama na sio kuweka blogs katika website za institutions kama hizo hivi hawawaoni UDSM na UDOM wajameni?