Zanaco
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 1,621
- 1,581
Habari wadau,
Nimetafuta website na app ya CHADEMAkwenye Play Store sijapata; kama kuna mtu anayo anitumie link niipitie kuna kila sabu ya Lissu kutumia website na app kuwafikia watu wengi ndani na nje.
1. Website kwajili ya Live Stream
2. Michango ya Kampeni yote kupitia kwenye website
3. Weka gateways zote kuanzia Tigo Pesa, Master cord, Visa Card, America Express, Bitcoin
4. Wanachama wote tutajisajili na kulipa michango kila mwezi kila inapotakiwa
5. Wenye card za kupiga kura tuta-register naku login kwakutumia card zetu
6. Idadi ya wapiga kura wa Lissu inaweza kujulika kupitia kwenye website na app mapema
7. Lissu ataweza kujua wangombea ngazi tofauti kupitia kwenye website nakuwasiliana nao moja kwa moja
8. Malalamiko
9. Taarifa mbalimbali zitatumwa kupitia kwenye website
Na mengine mengi kupitia kwenye website mpya ya kisasa yenye kuwa secured na hackers wa mtandaoni ili kila kitu kiende kidigitali.
Nimetafuta website na app ya CHADEMAkwenye Play Store sijapata; kama kuna mtu anayo anitumie link niipitie kuna kila sabu ya Lissu kutumia website na app kuwafikia watu wengi ndani na nje.
1. Website kwajili ya Live Stream
2. Michango ya Kampeni yote kupitia kwenye website
3. Weka gateways zote kuanzia Tigo Pesa, Master cord, Visa Card, America Express, Bitcoin
4. Wanachama wote tutajisajili na kulipa michango kila mwezi kila inapotakiwa
5. Wenye card za kupiga kura tuta-register naku login kwakutumia card zetu
6. Idadi ya wapiga kura wa Lissu inaweza kujulika kupitia kwenye website na app mapema
7. Lissu ataweza kujua wangombea ngazi tofauti kupitia kwenye website nakuwasiliana nao moja kwa moja
8. Malalamiko
9. Taarifa mbalimbali zitatumwa kupitia kwenye website
Na mengine mengi kupitia kwenye website mpya ya kisasa yenye kuwa secured na hackers wa mtandaoni ili kila kitu kiende kidigitali.