Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Wana-JF naombeni msaada mara kadhaa nimekuwa nikiingia katika website ya Bunge letu nakuta ki-sehemu kimekwa mahususi 'Ask the Speaker" na kuna picha ya Mhe. Samwel Sitta, mathalani sura ya website hiyo usiku wa leo ilikuwa kama inavyoonekana katika kiambatanisho hiki hapa chini: -
View attachment Bungesite.pdf
Je kumuenzi Speaker aliyemaliza muda wake au ni makosa yanafanyika kila mara?
View attachment Bungesite.pdf
Je kumuenzi Speaker aliyemaliza muda wake au ni makosa yanafanyika kila mara?