WeakLeaks Wazusha: Steve Jobs Alikufa Kwa Ngoma

Wapi paliposemwa saratani ndio sababu ya kifo? Hilo neno "likely" lina kazi yake hapo ndugu, waandishi hao si wajinga kuliweka kila mahala.

Apple hawakutangaza sababu ya kifo . Tunachojua ni kwamba Steve Jobs aliugua saratani ya kongosho na kubadilishwa ini nyakati za nyuma. Zaidi ya hapo haijulikani, inaweza kuwa chochote.


 
Mkishajua kafa kwa ngoma au cancer na mengine..so what?
Kuna mtu ambaye hatakufa? Kila kifo huwa na sababu.

Badala ya kuumiza vichwa kufatuta "the iconic SJ" kafa na nini...
pasueni vichwa mtafute mbinu za kupambana na umaskini "wenu wenyewe" au wa nchi yetu!
 
..weza ni ngoma au cancer..i don't see any big deal...kikubwa tutimize wajibu wetu na sisi ili tukifa na wengine wabaki wanajiuliza kama tunavyofanya leo kwa SPJ...
 
Wapi paliposemwa saratani ndio sababu ya kifo? Hilo neno "likely" lina kazi yake hapo ndugu, waandishi hao si wajinga kuliweka kila mahala.

Apple hawakutangaza sababu ya kifo . Tunachojua ni kwamba Steve Jobs aliugua saratani ya kongosho na kubadilishwa ini nyakati za nyuma. Zaidi ya hapo haijulikani, inaweza kuwa chochote.



Ndugu ndio maana nimeweka hilo neno likely. Hiyo ndiyo sababu ambayo inasemekana kumuua. Sasa hayo ya UKIMWI sijayaona yanazungumziwa mahala popote; hata hao WikiLeaks walichotoa ni fake report.
So hadi sasa it is likely pancreatic cancer ndio iliyomua SPJ.
Kama una sababu zingine bring it on!!!
 
Mkishajua kafa kwa ngoma au cancer na mengine..so what?
Kuna mtu ambaye hatakufa? Kila kifo huwa na sababu.

Badala ya kuumiza vichwa kufatuta "the iconic SJ" kafa na nini...
pasueni vichwa mtafute mbinu za kupambana na umaskini "wenu wenyewe" au wa nchi yetu!

I salute you!!
 
hv yeye ni nani ambaye awezi kufa kwa ukimwi? pili sijawahi kusikia mtu tajiri yeyote hata mtu wa kawaida kutangazwa kuwa amefariki kwa ngoma sana sana utasikia kwa choka mbaya.
 
Haijalishi nini kimuua, ni kwamba siku zake za hapa duniani zimekwisha na twangojea deadline yetu
 
Back
Top Bottom