We need to set S.M.A.R.T analysis to the New Cabinet ya JK

mstahiki

JF-Expert Member
Jul 14, 2007
308
5
Wana JF,

Forum hii imeweza kuchambua kwa kina sana Cabinet Mpya ya Mheshimiwa Rais..Nnawaomba tuchukue hatuwa kubwa kama wa penda maendeleo kwa kufanya mambo kimaendeleo.

Nawaomba tu set standards na Goals ambazo ni Specific, Measurable, Attainable(Achievable), Realistic(Results-oriented), Tangible(Timely)

S.M.A.R.T Analysis itakuwa ni kioo kizuri kwa waheshimiwa na hata sisi Wadau wa JF...Ila Tukianza kusema huyu kafanya nini bila kuwa na specific standards mijadala yetu haitakuwa na mafanikio.

Naomba kupendekeza kuifanya hii iwe "Sticky" Thread
 
Wana JF,

Forum hii imeweza kuchambua kwa kina sana Cabinet Mpya ya Mheshimiwa Rais..Nnawaomba tuchukue hatuwa kubwa kama wa penda maendeleo kwa kufanya mambo kimaendeleo.

Nawaomba tu set standards na Goals ambazo ni Specific, Measurable, Attainable(Achievable), Realistic(Results-oriented), Tangible(Timely)

S.M.A.R.T Analysis itakuwa ni kioo kizuri kwa waheshimiwa na hata sisi Wadau wa JF...Ila Tukianza kusema huyu kafanya nini bila kuwa na specific standards mijadala yetu haitakuwa na mafanikio.

Naomba kupendekeza kuifanya hii iwe "Sticky" Thread

Cabinet hii bado ina mafisadi na watu ambao hawastahili kuwa kupewa hata ukatibu tarafa, hawa Ghasia pia kuna wasema uongo Chiligati (CCm ndio iliyoibua uozo wa BoT na kashfa ya Richmon)

Kuwa na watu hao katika baraza la mawaziri tayari ni picha tosha kwamba halitakuwa na mafanikio yeyote, kama yatakuwapo basi ni finyu sana. I may be wrong, but I doubt it.
 
Cabinet hii bado ina mafisadi na watu ambao hawastahili kuwa kupewa hata ukatibu tarafa, hawa Ghasia pia kuna wasema uongo Chiligati (CCm ndio iliyoibua uozo wa BoT na kashfa ya Richmon)

Kuwa na watu hao katika baraza la mawaziri tayari ni picha tosha kwamba halitakuwa na mafanikio yeyote, kama yatakuwapo basi ni finyu sana. I may be wrong, but I doubt it.

Bubu,

Naomba uitazame kwa mtazamo tofauti kidogo,Kwamba hawa jamaa wapo kwenye uskani...Put a S.M.A.R.T Goal and see what is going to happen..
 
Nawaomba tu set standards na Goals ambazo ni Specific, Measurable, Attainable(Achievable), Realistic(Results-oriented), Tangible(Timely)

S.M.A.R.T Analysis itakuwa ni kioo kizuri kwa waheshimiwa na hata sisi Wadau wa JF...Ila Tukianza kusema huyu kafanya nini bila kuwa na specific standards mijadala yetu haitakuwa na mafanikio.

Support 100%, hupaswi lalamika kwa kila kitu, bila SMART analysis , vinginivyo itaishia kuwa personal attacks, watu wachambuliwe kwa utendaji kazi wao na achievements, itasaidia sana kutokea mwelekeo wa watanzania wanataka nini

BIG UPS JF
 
Back
Top Bottom