We kova we mpe kazi za ofisi huyu;mtutu na yeye wala awaendani jamani

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Jamani kuna picha ya dada mmoja aliwangurumishia majambazi waliouwawa hivi majuzi;hakika roho imenidunda gafla kwanza kuona mtoto mwenyewe na jinsi alivyopendeza;jamani embu mtafutieni kazi za ofisini walahi kova ningekuwa bosi wake huyu angekuwa secretary wangu ;hata kama shule ajaenda msomesheni hiki kichwa...loh kova mkono mbona uachii mzee
dada hongera kwa shuguli pevu;angalia waliokuchungulia kama mie wasikusumbue,mi nataka ufanikiwe kazini;mtutu sio kabisa na wewe dada
 

Attachments

  • WE KOVAA WE MKONO ACHIA HUO.jpg
    WE KOVAA WE MKONO ACHIA HUO.jpg
    8.7 KB · Views: 309
7500d1262973894-we-kova-we-mpe-kazi-za-ofisi-huyu-mtutu-na-yeye-wala-awaendani-jamani-we-kovaa-we-mkono-achia-huo.jpg


WALAHI MUNGU WEE KIUMBE CHAKO KINGEMIMINIWA RISASI JAMANI SIJUI TUNGEJIBUJE HUKO AHERA;USHAURI WA BURE BABA KOVA
 
This is exactly the type of publicity that is detrimental to the security of each individual policeman/woman.
Mantiki ya kupongezana hadharani kwa kitendo hiki mimi siioni kabisa.Sijui Standing Orders zinasemaje katika utekelazji mzuri wa kupambana na majambazi lakini sana sana ni kuhatarisha maisha ya vijana hawa ambao wamefanya kazi yao vizuri na kwa umakini.
Kamanda Kova lazima aelezwe kuwa kitendo kama hiki hakimsaidiii sana in the long run.
Exposure ya identity ya hao vijana to the public at large is surely uncalled for.
 
Issue sio sura ni kazi, ina maana kabla hajaamua kujiunga na jeshi la polisi ni kwamba kazi zinazofanana na za salon zilishashindikana mwacheni dada afanye kazi na inaonyesha anazimudu!!
 
Nimejaribu kumpigia namba haipatikani.........

Wapwa mko fit mi nafagilia atoke kwenye mtutu kwanza wapwa mshawahi kuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
loh!!haya wahini na mie atanikumbuka
 
Issue sio sura ni kazi, ina maana kabla hajaamua kujiunga na jeshi la polisi ni kwamba kazi zinazofanana na za salon zilishashindikana mwacheni dada afanye kazi na inaonyesha anazimudu!!
..

Mwacheni dada AUWE WATU ingekuwaje kama ni mama wa watoto wako?
 
This is exactly the type of publicity that is detrimental to the security of each individual policeman/woman.
Mantiki ya kupongezana hadharani kwa kitendo hiki mimi siioni kabisa.Sijui Standing Orders zinasemaje katika utekelazji mzuri wa kupambana na majambazi lakini sana sana ni kuhatarisha maisha ya vijana hawa ambao wamefanya kazi yao vizuri na kwa umakini.
Kamanda Kova lazima aelezwe kuwa kitendo kama hiki hakimsaidiii sana in the long run.
Exposure ya identity ya hao vijana to the public at large is surely uncalled for.

Si unajua tena bongo, kila kitu shaghalabaghala. Mtu hakai chini one minute kupima hizi stunts za Pr zina athari na unyeti gani kwa wahusika.
 
Si unajua tena bongo, kila kitu shaghalabaghala. Mtu hakai chini one minute kupima hizi stunts za Pr zina athari na unyeti gani kwa wahusika.

Hawa ni askari wa kawaida si sidhani kama kujulikana ni hatari.......hata yule dada wa marekani aliyempiga risasi yule maj. aliyewapiga risasi askari wenzake kambini alitangazwa hadharani kwa ushujaa wake.

Hata yule traffic police aliyepambana na majambazi pale ubungo alikuwa anajulikana na wala hakuna issue ya secrecy pale.
 
Hawa ni askari wa kawaida si sidhani kama kujulikana ni hatari.......hata yule dada wa marekani aliyempiga risasi yule maj. aliyewapiga risasi askari wenzake kambini alitangazwa hadharani kwa ushujaa wake.

Hata yule traffic police aliyepambana na majambazi pale ubungo alikuwa anajulikana na wala hakuna issue ya secrecy pale.

Mambo yanayotukia Marekani sio SI unit kwamba ndio itumike kama scale ya ku-calibrate matukio ulimwenguni. Kila tukio ni unique kwa sababu ya utofauti wa sababu, muda, wahusika na eneo etc. Kama kuna genge la uhalifu lililojikita nadhani hii PR ya kijinga inakuwa imewarahishia kazi ya kupata target yao.
 
Hawa ni askari wa kawaida si sidhani kama kujulikana ni hatari.......hata yule dada wa marekani aliyempiga risasi yule maj. aliyewapiga risasi askari wenzake kambini alitangazwa hadharani kwa ushujaa wake.

Hata yule traffic police aliyepambana na majambazi pale ubungo alikuwa anajulikana na wala hakuna issue ya secrecy pale.

Mkuu usilinganishe mambo ya Marekani na hapa bongo.
Bongo hakuna ulinzi wa aina yoyote wa 24 hrs kwa watu wake dhidi ya majambazi.
It is prudent to play it safe kwa kutomwaga mpunga kwa kuku wengi, at worst ni kuwaweka hawa vijana at risk.
 


na mie msinitoe hadharani jamani maana awa majambazi
awafai naomba,nilishauri tu kwenye upande wa kazi
wazee wa kazi;tuoneeni huruma jamani mbona
matukio mfululizo hivi sasa;kunani?ama jeshini wanamwaga silaha ovyo??
 
...usilinganishe mambo ya Marekani na hapa bongo.
Bongo hakuna ulinzi wa aina yoyote wa 24 hrs kwa watu wake dhidi ya majambazi.It is prudent to play it safe kwa kutomwaga mpunga kwa kuku wengi, at worst ni kuwaweka hawa vijana at risk.
mkuu hii nchi yetu ina maajabu sana. Unaweza ulawaelewesha hata wasitambue ni nini unachoongea. We ve got serious &thinling' problems at top level management of our nation.
 
This is exactly the type of publicity that is detrimental to the security of each individual policeman/woman.
Mantiki ya kupongezana hadharani kwa kitendo hiki mimi siioni kabisa.Sijui Standing Orders zinasemaje katika utekelazji mzuri wa kupambana na majambazi lakini sana sana ni kuhatarisha maisha ya vijana hawa ambao wamefanya kazi yao vizuri na kwa umakini.
Kamanda Kova lazima aelezwe kuwa kitendo kama hiki hakimsaidiii sana in the long run.
Exposure ya identity ya hao vijana to the public at large is surely uncalled for.

You are right guy. Hili jambo limenikera kweli. Mbona majambazi wakikamatwah hawawataji hata majina wanajitetea eti kwa ajili ya kutunza ushahidi. watatuonyesha silaha and the likes. Halafu aliyeua jambazi unamtangaza kwenye vyombo vya habari, hivi huyu kichwani ana ubongo au matope? Kwanini asituonyeshe majambazi ili tunayewajua tuwasaidie kuwatajia hata jamaa zao wa karibu ambao tunadhani wanashirikiana katika mambo ya uporaji?
Sasa huyu binti maisha yake yapo hatarini sana, kwa kuwa hawa majambazi waliouawa wana ndugu zao, wana majambazi wenzao na wana kila aina ya support hata kutoka kwa baadhi ya askari. Wanafikiri watajiskiaje kuona huyu binti anapongezwa wakati wao wamepoteza ndugu yao na rafiki yao. Huyu Kova mwehu kabisa, kaniboa kwelikweli.
 
Si unajua tena bongo, kila kitu shaghalabaghala. Mtu hakai chini one minute kupima hizi stunts za Pr zina athari na unyeti gani kwa wahusika.

This is exactly the type of publicity that is detrimental to the security of each individual policeman/woman.
Mantiki ya kupongezana hadharani kwa kitendo hiki mimi siioni kabisa.Sijui Standing Orders zinasemaje katika utekelazji mzuri wa kupambana na majambazi lakini sana sana ni kuhatarisha maisha ya vijana hawa ambao wamefanya kazi yao vizuri na kwa umakini.
Kamanda Kova lazima aelezwe kuwa kitendo kama hiki hakimsaidiii sana in the long run.
Exposure ya identity ya hao vijana to the public at large is surely uncalled for.

bongo wanapenda sana kupigwa picha, si unajua wote mwishoni wakishastaafu watagombea ubunge? sasa kufanya kazi bongo ndio mtaji wa kujitangaza, vijijni huko nani atakayekuona? . mpo hapo wazee?

visenti vyenyewe vimetolewa na dk makomeo, a.k.a maghufuli
 
This is exactly the type of publicity that is detrimental to the security of each individual policeman/woman.
Mantiki ya kupongezana hadharani kwa kitendo hiki mimi siioni kabisa.Sijui Standing Orders zinasemaje katika utekelazji mzuri wa kupambana na majambazi lakini sana sana ni kuhatarisha maisha ya vijana hawa ambao wamefanya kazi yao vizuri na kwa umakini.
Kamanda Kova lazima aelezwe kuwa kitendo kama hiki hakimsaidiii sana in the long run.
Exposure ya identity ya hao vijana to the public at large is surely uncalled for.

Gwakisa uko sawa kabisa, Kova nadhani hajui jinsi criminals wanavyooperate ndo maana anakimbilia TV kuonesha kafanya nini. Achilia mbali exposure ya mapolisi athari nyingineni exposure kwa majambazi kuhusu njia wanazotumia polisi kupambana na majambazi.

Kuwapongeza polisi vilevile ni kosa kwa sababu hiyo ndio kazi yao, hawajafanya chochote zaidi ya mipaka yao ya kazi, hakukuwa na haja ya kuwapongeza. Watu wengi wanafanya kazi zao vizuri tu mbona hawapongezwi???? waalimu doctors, wahandisi etc

Kova ashauriwe kuachana na kufanya kazi kwa publicity tunapenda matokeo na matokeo tunayotarajia sio kuua bali ni kueliminate ujambazi bila kumwaga damu.
 
Huyu dada atapanda chati mtaani balaa bora wangezawadiwa kimya kimya
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom