Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Jamani kuna picha ya dada mmoja aliwangurumishia majambazi waliouwawa hivi majuzi;hakika roho imenidunda gafla kwanza kuona mtoto mwenyewe na jinsi alivyopendeza;jamani embu mtafutieni kazi za ofisini walahi kova ningekuwa bosi wake huyu angekuwa secretary wangu ;hata kama shule ajaenda msomesheni hiki kichwa...loh kova mkono mbona uachii mzee
dada hongera kwa shuguli pevu;angalia waliokuchungulia kama mie wasikusumbue,mi nataka ufanikiwe kazini;mtutu sio kabisa na wewe dada
dada hongera kwa shuguli pevu;angalia waliokuchungulia kama mie wasikusumbue,mi nataka ufanikiwe kazini;mtutu sio kabisa na wewe dada