chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Watanzania wengi ni copy and paste.
siku moja niko zangu majuu huko kwa Madiba nikaona tatizo la Shirika la Posta jinsi mtu akiondoka kwenye nyumba lile sanduku la posta linabaki pale mpaka ufanye utaratibu wa kuomba maombi na usipofanya hivo barua nyingi zitakuja pale.
Nikawaza kwanini kusiwe na sanduku la Posta unalotembea nalo kama barua pepe.
Yaani unakwenda sehemu X halafu unachange address kuwa hupo huko na barua ikifika kwenye shirika wanajua na kukupelekea huko.
Sitafunguka sana kwa sababu hiyo project naona bado wanaangalia tu. Mwenye project na mafail ni mimi niliyefanyia hayo.
Kisa chenyewe.
Mwaka 2021 nilikwenda makao makuu pale Posta ofisi karibu na jengo la Mambo ya Ndani nikabahatika kukutana na dada alikuwa kitengo cha idara ya IT wakiwa kwenye project ya TTCL kuuza kwa mtandao kama ebay. Nikashangaa sana na kumueleza nina project na kumueleza japo kidogo kumbe alikuwa ananichora tu.
Nipo zangu huku kwa wasukuma nashangaa kuona kile nilichomwambia ndio kimetengenezwa tena mpaka jina. Ila sikuwa na copyright .
utaweza maliza ukuwa muwazi
siku moja niko zangu majuu huko kwa Madiba nikaona tatizo la Shirika la Posta jinsi mtu akiondoka kwenye nyumba lile sanduku la posta linabaki pale mpaka ufanye utaratibu wa kuomba maombi na usipofanya hivo barua nyingi zitakuja pale.
Nikawaza kwanini kusiwe na sanduku la Posta unalotembea nalo kama barua pepe.
Yaani unakwenda sehemu X halafu unachange address kuwa hupo huko na barua ikifika kwenye shirika wanajua na kukupelekea huko.
Sitafunguka sana kwa sababu hiyo project naona bado wanaangalia tu. Mwenye project na mafail ni mimi niliyefanyia hayo.
Kisa chenyewe.
Mwaka 2021 nilikwenda makao makuu pale Posta ofisi karibu na jengo la Mambo ya Ndani nikabahatika kukutana na dada alikuwa kitengo cha idara ya IT wakiwa kwenye project ya TTCL kuuza kwa mtandao kama ebay. Nikashangaa sana na kumueleza nina project na kumueleza japo kidogo kumbe alikuwa ananichora tu.
Nipo zangu huku kwa wasukuma nashangaa kuona kile nilichomwambia ndio kimetengenezwa tena mpaka jina. Ila sikuwa na copyright .
utaweza maliza ukuwa muwazi