Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,401
- 79,636
Ha haa omba Mungu wasikuoneHalafu huwa naonaga tu mwenza leo ndio nimeanza mods wakinipa ban watanionea nimeanza leo tu
Ha haa omba Mungu wasikuoneHalafu huwa naonaga tu mwenza leo ndio nimeanza mods wakinipa ban watanionea nimeanza leo tu
Mm hapa,tena nliandika ufeiNaskia Kuna mtu alipewa ban kwa kuwahi seat
Naskia Kuna mtu alipewa ban kwa kuwahi seat
Ilikua balaa. Ila kila changamoto inatatuka.Ehee!!..ikawaje mkuu?
Mmh jamani, kosa likwapi hapo?
Hapana, alimkataza mwenzio kuwahi siti ndio kapewa bani
A big yes, boss.Pole aise, mtu anweza dhania we ni dungadunga lakini hii hutokea,,,
Dada anakuangushia msambwanda halafu hakuna kwa kugeukia,,,,
situation hii ikikutokea we kumbuka madeni yako tu,,, itakusaidia.
Aah pole sana.hujambo lknYa mwendokasi we mbaba
Picha iko wapi? Ukashindwa kabisa kufotoa picha kama hivi View attachment 1125796
Mkuu hiyo avatar sio mm wala sifanani nayo usichanganyikiwe kabisaHaha... Una kitu napenda.
Mods nisameheni tu ndio kwanza leoHa haa omba Mungu wasikuone
Pole ya nn sasa we mbaba sijambo mm hofu kwakoAah pole sana.hujambo lkn
Ha haa unafurahisha kweli mwenza jamaniMods nisameheni tu ndio kwanza leo
Hahahah sasa mwenza nifanye nn zaidi ya kuomba msamaha na leo ndio nimeanzaHa haa unafurahisha kweli mwenza jamani
Watakuwa wamepokea msamaha wakoHahahah sasa mwenza nifanye nn zaidi ya kuomba msamaha na leo ndio nimeanza
Ukule tu ban usituchoshe maana kuna watu walibikiriwa na mimba juu.Hahahah sasa mwenza nifanye nn zaidi ya kuomba msamaha na leo ndio nimeanza
Pole kwa kubanana bibie mimi sijambo ila roho yaniumaPole ya nn sasa we mbaba sijambo mm hofu kwako
Sawa mkuuUkule tu ban usituchoshe maana kuna watu walibikiriwa na mimba juu.
Ndio zetu hizo wasimamia mwendokasiPole kwa kubanana bibie mimi sijambo ila roho yaniuma