Philip Dominick
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,021
- 189
dogo mmoja anasoma darasa la
tatu.
[dogo:]mwalimu mimi nataka
kusoma darasa la nne maake hili la
tatu halinifai,nina akili sana
[mwalimu:]mmh hebu nikuulize
maswali
[dogo:]sawa
[mwalimu:]kweny e ndege kuna
matofali 20 ukidondosha moja chini
yanabaki mangapi?
[Dogo:]hili swali rahisi mno,yatabaki
19
[mwalimu:]nipe hatua za kumweka
tembo kwenye fridge
[dogo:]unafungu a fridge,unamuing --
iza tembo kisha unafunga friji
[mwalimu:]nipe hatua za kumweka
nyani kwenye fridge
[dogo:]unafungu a fridge na kumtoa
huyo tembo ulemweka kwanza kisha
unamuingiza nyani
[mwalimu:]simba anasherehekea siku
yake ya kuzaliwa,wanyam a wote
wapo kasoro mmoja tu Ni nani na
kwa nn?
[dogo:]ni nyani kwa sababu
tumemuweka kwenye fridge
[mwalimu]:bibi kizee amevuka mto
wenye mamba na viboko
wengi,aliwezaje ?
[dogo:]amevuka kwa sababu
wanyama wote walikuwa kwenye
sherehe ya siku ya kuzaliwa ya
simba
[mwalimu:]sawa, in gawa bibi
alivuka mto,mwishowe
alifariki,unadh ani kwa nin?
[dogo:]alikufa kwa kudondokewa na
tofali kutokakwenye ndege,kwenye
yale 20 tulopakia na baade
kudondosha moja chini
[mwalimu:]huyu dogo akasome chuo
kikuu. Anajibu mambo ambayo hata
mm nisingeyajua
mpe jina huyu dogo. Ww ungeweza
kujibu haya maswali?
tatu.
[dogo:]mwalimu mimi nataka
kusoma darasa la nne maake hili la
tatu halinifai,nina akili sana
[mwalimu:]mmh hebu nikuulize
maswali
[dogo:]sawa
[mwalimu:]kweny e ndege kuna
matofali 20 ukidondosha moja chini
yanabaki mangapi?
[Dogo:]hili swali rahisi mno,yatabaki
19
[mwalimu:]nipe hatua za kumweka
tembo kwenye fridge
[dogo:]unafungu a fridge,unamuing --
iza tembo kisha unafunga friji
[mwalimu:]nipe hatua za kumweka
nyani kwenye fridge
[dogo:]unafungu a fridge na kumtoa
huyo tembo ulemweka kwanza kisha
unamuingiza nyani
[mwalimu:]simba anasherehekea siku
yake ya kuzaliwa,wanyam a wote
wapo kasoro mmoja tu Ni nani na
kwa nn?
[dogo:]ni nyani kwa sababu
tumemuweka kwenye fridge
[mwalimu]:bibi kizee amevuka mto
wenye mamba na viboko
wengi,aliwezaje ?
[dogo:]amevuka kwa sababu
wanyama wote walikuwa kwenye
sherehe ya siku ya kuzaliwa ya
simba
[mwalimu:]sawa, in gawa bibi
alivuka mto,mwishowe
alifariki,unadh ani kwa nin?
[dogo:]alikufa kwa kudondokewa na
tofali kutokakwenye ndege,kwenye
yale 20 tulopakia na baade
kudondosha moja chini
[mwalimu:]huyu dogo akasome chuo
kikuu. Anajibu mambo ambayo hata
mm nisingeyajua
mpe jina huyu dogo. Ww ungeweza
kujibu haya maswali?