We are the other people

Nimeiquote tena usije ukafanya editing zako,
kama huna hoja ya kujibu kaa kimya tu au go back to sunday school ukaanze upya, siyo kuleta ujanja ujanja wako hapa wa kupindisha kiswahili na kuedit vipost vyako
Haha
 
suala la paulo lipo wazi kabisa ukisoma siku zake za mwisho mpaka kuwekwa gerezan,akiitwa mbel ya wayahudi anajifanya yeye ni myahudi anaefuata torati,akiwa na warumi anasema yeye ni wa Yesu na ni mrumi.
kwa kifupi Paulo alikua anajifanya kucheza na sheria(nadhani alikua mwanasheria),ujanjaujanja mwingi na kama Mungu anamruhusu huyo mtumishi aseme uongo ili aendelee na kazi za Mungu kuna maana gani Yesu na wanafunzi wake walipogoma kugeuza shingo zao na kusimamia imani zao mpaka dakika za mwisho?
kwani Mungu angeshindwa kuinua mtume mwingine aendelee na kazi kama Yesu alivyosema Mungu ana uwezi wa kuinua nabii hata kwenye mawe?
hakika nakwambia tusingemheshimu Yesu kama angekua kigeugeu.
hakika Paulo ni msanii
kuhus other people ushahidi wote unaonyesha hii dini haituhusu, habari zote wanajiongelea wao na sisi tunajarib kwa nguvu zote kutafta andiko litakaloonyesha sisi tunahusika kwenye hizi hadithi bila mafanikio
Kabisa mkuu ..
 
Raia Fulani hebu niambie hii kitu imekaaje kuhusu Peter mdo 10;10-16 ambapo peter anasikia njaa kali mpaka akapata kizunguzungu akaanza kuota vyakula vya kila aina mpaka haramu vinashushwa. njaa ikiwa kali hata mimi natamani nile chochote kilicho mbele yangu,mana alipokutana na watu wa mataifa fasta akaenda kuwaunga mkono ,akatoa hotuba ndefu sana badae wakamkaribisha kukaa nae .

ndugu zake habari zilipowafikia mdo 11;2-4wakamuuliza kulikon kwenda kujichanganya na wa mataifa na kukaa nao meza(kula) moja peter akaanza kujitetea.
ila kiukweli ilikua ni njaa haikua maono!

kwa kifupi mitume waliamua kujichanganya na watu wa mataifa baada ya wayahudi kuwakataa kwa maana kama ni kweli Yesu aliwaagiza waende kwa mataifa baada ya kufufuka mbona moja kwa moja hawakwenda kwa watu wa mataifa?

ni mpaka walipoanza kuuawa ,kutupwa gerezan ndio wakaanza kusogeasogea kutoa neno kwa mataifa, na bado walikua wanapingana.sasa najiuliza inakuaje mnapingana wakati bwana Yesu alishatoa maagizo muende kwa mataifa?

na njaa ilipozid wakasema vyakula vyote halali
Hahaha line ya mwisho dah !! Mbavu zangu
 
[ [[/COLOR]/QUOTE]

mmmmmmmmmmmh_hata sijaelewa...na pale nilipoelewa ninaishia kushangaa i.e iweje waisrael/wayahudi ndugu zake Yesu wamkatae mpaka sasa lakn kina yakhe kutwa kutoa mapovu mpaka kuuana.

Mkuu IGWE

Halafu kuna hii idea kwamba huyo mungu wa Israel baada ya watu wake (waisrael) kumkataa aliwageukia mataifa, kwanza sina uhakika na authenticity yake, sijui waliitoa wapi hii?

Ila inaibua maswali kadhaa,
huyu mungu wao ina maana hana msimamo?

Yaani watu wamataifa walikua na value tu pale alipotoswa na "Taifa lake Teule"?

Ina maana waisrael wasingemkataa mustakabali wa mataifa ungekuaje?[/QUOTE]Hahaha kwanza Mungu muweza wa yote anashindwa nini kutumia uweza wake wa yote ili akubalike na hao waisrael !!!? Yaani mungu muweza wa yote anashindana na watu tena kweli !!?
 
kuwa binadamu tunajua kuna pia kufanya makosa. lakini tuangalie nafasi zao katika jamii! kama hao walikuwa watu wa mungu kweli, basi walikua wanaongozwa na roho mtakatifu,na maamuzi yoyote yalikua yasifanyike bila kumconsult roho mtakatifu.na kama walikua wakimconsult roho mtakatifu haiwezekani wakakosea kwenye kutoa maagizo ya kiroho unless otherwise roho mtakatifu hakua nao kwaiyo walikua wakifanya maamuzi bila kumconsult roho mtakatifu.hii kupingana na kutoa maamuzi tofauti yaonyesha kabisa walikua wakiongozwa na utashi wao na si wa Mungu

suala la Mungu kutugeuka si kweli! ni kama nilivyosema wanaisrael wana Mungu wao na sisi pia tuna Mungu wetu,na Mungu wa Israel hajishughulishi na sisi,akijishughulisha na sisi, lengo litakua kututawala na kuwafanya watu wake waisrael wawe juu ya watu wengine wote.nadhani unafaham vita walivyozipiga na miungu na jamii zingine ili kuweza kutwaa maeneo na kuwatumikisha

maandiko ya biblia yana mafundisho mengi,kwetu inaweza kutumiwa kama reference book kati ya vitabu vingi,ila usife moyo kwani na sisi tuna Mungu wetu ambae nae anatenda miujiza na anasikiliza matatizo yetu.jaribu kuzunguka maeneo mbalimbali ya Tz kuna maeneo ya maombi na watu wanaenda wanatatuliwa matatizo yao bila kupitia kwa Mungu waisrael.
tofauti kati yetu na wao ni kwamba sisi hatujawahi andika vitabu kuhusu Mungu wetu ila yupo hai
Sahihi kabisa
 
Mkuu IGWE

Halafu kuna hii idea kwamba huyo mungu wa Israel baada ya watu wake (waisrael) kumkataa aliwageukia mataifa, kwanza sina uhakika na authenticity yake, sijui waliitoa wapi hii?

Ila inaibua maswali kadhaa,
huyu mungu wao ina maana hana msimamo?

Yaani watu wamataifa walikua na value tu pale alipotoswa na "Taifa lake Teule"?

Ina maana waisrael wasingemkataa mustakabali wa mataifa ungekuaje?

kwaiyo wasingemkataaa na kufuata masharti yake nadhani wangekua wamechinja watu wote middle east,maana Mungu wao aliwakataza wasibakishe mtu yeyote popote pale wanapopita, kwani ni chukizo kwake[/QUOTE]Hahaha
 
waislamu ndio hata maandiko ni lazima utumie kiarabu,yani hii inathibitisha kabsa haki milki ni ya waarabu
Naam kabisa " yaani wana tawaliwa kifikira bila ya kujijua na wameaminishwa kuwa hiyo ndio lugha ya peponi ...

Eti mungu aliiachagua lugha hiyo kuwa ndio lugha bora kuliko zote duniani ...dah !!! Imani hizi ..duniani kuna vituko sana
 
kwaiyo wasingemkataaa na kufuata masharti yake nadhani wangekua wamechinja watu wote middle east,maana Mungu wao aliwakataza wasibakishe mtu yeyote popote pale wanapopita, kwani ni chukizo kwake

Swali la msingi hili.....!!!!!!!!!!!!!!!! and...??????????????????????????[/QUOTE]Finally wakaona wamkane tu huyo mungu wao -- haiwezekani mungu awe katili kiasi hicho ..mungu ana amrisha mauaji ya watu ..(vichanga mpaka wazee kweli !! )
 
ok we unaonaje tukubali biblia nzima ni kweli hata kama tunaona contradictions au tuikatae kutokana na mambo yanayokinzana ndani ya kitabu na kutuchanganya?

huku tukijarib kwa nguvu zote kutafuta kamstari kamoja kamoja ili kujiridhisha kwamba na sisi wa mataifa, Mungu wa Israel hajatusahau

maana najaribu kutafuta nabii au mtume asiye mwisrael kwenye kitabu hata la agano jipya na bado sijampata ,sasa najiuliza hivi Mungu wa Israel ni wetu kweli? au tuwathibitishe akina mwingira kama manabii ili turidhishe nafsi zetu?
Hahahaha "
 
Eiyer naona umechanganyikiwa kwani nimekupa vitabu vinavyosimulia kuhusu yesu,umebaki kuukana ukweli ingawa

naona una streess sana sahiz baada ya kuugundua ukweli,ni mambo ya kawaida ila utaamua mwenyewe uambatane na ukweli au ubaki kwenye uongo na dunia isiyokuhusu ukitegemea kwenda mbinguni sijui au kwenda kukaa nje ya hekalu la bwana kwenye behewa maana wewe sio myahudi ufunuo 11;2
Haha haahA jamaa anabishana hana mantiki kabisa... baada ya kugundua kuwa kweli dini zao ni kanyanja anajikuta analazimika tu kuzitetea ili Walau ajifariji " maana hataki kuamini kwamba alicho karilishwa kilikuwa ni matango pori " wakati ndio ukweli halisi
 
Ni kama story ya Plato ya Allegory of the Cave, ukweli mchungu kuumeza, wapo wanaoona bora kuendelea na mapokeo hata kama wanamashaka nayo, kwa sababu ukweli unauma, ukweli unawatoa out of their comfort zone.

Sasa siku akija kujua kuwa hata hiyo the so called "the holy book" jamaa waliichakachua, sijui atapatwa na wazimu au ataendela kubishana na ukweli?

"Ukiijua kweli, nayo kweli itakuweka huru"
Jamaa wanaumia -- wanaona tabu kuwa na mwanzo upya
 
Mimi hizi ishu hata haziniumizi kichwa, watu wamekuwa wagumu tu kuelewa wakati kila kitu kipo wazi....
Mfano, Cain aliyekuwa amelaaniwa na mungu "yahweh" na akaonekana hafai katika uzao wa Adam, akajiondokea na akaenda zake hata kwa " other people" akaoa huko na akaishi huko. Ukiwaambia watu kuwa kulikuwa na watu wengine utabishiwa hadi kesho, ila ukweli ni dhahili kabisa. Yahweh alishamlaani Cain toka katika uzao wa Adam, je wewe unadhani Yahweh anaweza kumruhusu Cain aoe dada yake? Alete laana nyumbani? Kama ndiyo basi yahweh alileta laana kwa watu wake "wa israeli" na biblia ikaficha si ndiyo! Kama hawezi fanya hivo basi Cain alioa kwa "watu wengine" ambao yahweh hata hana issue nao. Sijui Waafrika tutaamka lini!
Mimi natoka kwa "other people" biblia, yesu blah blah za dini hazinihusu....
Safi Sana ...inapendeza kuon watu wanajitambu kiasi hiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom