WCB wamebet vibaya kwa Lavalava na Maromboso

Hawa jamaa wametoka kwenye kipindi kidumu (Beef zinazo endelea), so watakuja kuwa wasani wazuri waki survive kwenye hili sakata (Kubaniwa) then wakitoboa watakuwa wamejifuza mengi. Ongopa sana yule mtu anaanza kupambana anakutana na changamoto nyingi kwani zina mjenga sana akija kutomboa uto amini
Lazima watatomboa tuu:D:D
 
Hatari teknolojia kitu Cha kuogopa Sana kinaumbua🤣🤣🤣
Kweli kabisa utabiri unaweza kwenda kinyume na matarajio, ni vyema kuepuka kujihakikishia ili kuepuka fedhea ndogo ndogo kama hizi hasa pale matarajio yanaposhindwa kufikiwa kutokana na sababu mbalimbali zinazoweza kujitokeza.
 
WCB HAWACHUKUI MTU KWA AJILI TU YA KUWA NA WATU WENGI.WCB WALIMISS AINA YA MUZIKI WANAOUFANYA MBOSSO NA LAVALAVA.NADHANI NI MZIKI FULANI AMBAO UMEKAA KATIKA MAHADHI YA KITANZANIA 100%.
Kuhusu Aslay yuko poa ila ANAIMBA STYLE moja na huko alipoamua kujiweka mwisho siku watamtumia na kumtupa.
Mahadhi ya kitanzania 100%? Sio kwamba hawa wana sample beat za kihind,uimbaji,mavazi?
 
Mahadhi ya kitanzania 100%? Sio kwamba hawa wana sample beat za kihind,uimbaji,mavazi?

Kwani si kuna watanzania wahindi? Wengine wanaimba singeli ya wazaramo, Maromboso yeye anaimba mahadhi ya mitaa ya Kisutu na Zanaki. Yote Tanzania hiyohiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom