IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Kama unawafuatilia vijana wa WCB hasa diamond na harmonize wameadvance walinzi wao wanatembea na head4n.
Pia kama wanaenda sehemu lazima wao watangulie na wanakifaa cha kupima km kuna bomu niliona pale kwenye katafsrija cha makonda.
Pia km unafuatilia kipindi cha coce studio utaona ni security Kali ya harmonize na rayvany imetawala.
Pia wana bullete proof ..nauliza tu wadau nitoeni ushamba au kuna kibali maalumu wanapewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kama wanaenda sehemu lazima wao watangulie na wanakifaa cha kupima km kuna bomu niliona pale kwenye katafsrija cha makonda.
Pia km unafuatilia kipindi cha coce studio utaona ni security Kali ya harmonize na rayvany imetawala.
Pia wana bullete proof ..nauliza tu wadau nitoeni ushamba au kuna kibali maalumu wanapewa?
Sent using Jamii Forums mobile app