Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,741
Mbona watu wanasema wameigaNyimbo hapo nimoja tu Lavalava ft Diamond
Mbona watu wanasema wameigaNyimbo hapo nimoja tu Lavalava ft Diamond
Kwahiyo YouTube views ndio ubora wa wimbo ?Mziki ushakuwa wa WCB , wasanii wengine kama wamechoka hvi au wamekata tamaa, nawashauri wakomae Tu kibabe, remix ya Ushamba ya harmonize ina view 200K ni wiki ya pili sasa..... Ila hzi nyimbo mbili Rayvany ft Zuchu na Diamond ft Kofi olomide , zimevuruga kabisa hali ya hewa , hzo zingine dis-track nafkri wanauchangamsha mji ,.....
Sasa maswala ya kutukanana yametoka wap tena boss ?? , ubora wa nyimbo unapimwa vip Kwa upande wako ?? , istoshe nan kapima ubora wa nyimbo hapa au ni mtazamo wa trending za mashabiki kwenye digital platform inayofanya vizur zaidi ukanda huu notably youtube....itoshe kusema we ndo mpumbavu Mkubwa na aliyekuzaa ana hasaraKwahiyo YouTube views ndio ubora wa wimbo ?
Ninyi majamaa sijui mmerogwa, kizazi cha kipumbavu kweli.
Narudia tena wewe ni mpumbavu.Sasa maswala ya kutukanana yametoka wap tena boss ?? , ubora wa nyimbo unapimwa vip Kwa upande wako ?? , istoshe nan kapima ubora wa nyimbo hapa au ni mtazamo wa trending za mashabiki kwenye digital platform inayofanya vizur zaidi ukanda huu notably youtube....itoshe kusema we ndo mpumbavu Mkubwa na aliyekuzaa ana hasara
Narudia pia we ni mpumbavu Mkubwa na aliyekuzaa ana hasara kuwa na mtoto popoma kama weweNarudia tena wewe ni mpumbavu.
Huu ni ushamba 😃😃Mkuu kibonge ndio nani?
Watoe movie ya mnyanduanoUnataka wasitoe nyimbo watoe movies ama??
Wanawahi wasijeanza kulipia kodi viewers kule YOUTUBENaona mwisho wa Mwaka ndani ya Mwezi mmoja WCB wanaachia pini juu ya pini zaidi ya Nne ambayo sio kawaida.
Lavalava ft Diamond
Rayvanny ft Diamond
Baba Levo ft Diamond
Diamond ft Koffi Olomide
Zuchu & Rayvanny
Hizo tatu za mwanzo kama wanamshambuliana "Kibonge ila Kwenye Muziki Bado Sanaa.."
Sio kawaida yao kutoa nyimbo kwa wingi hivi uwa wanaachiana Airtime. Au ndio wanataka piga show za Mwisho wa Mwaka vizuri?
Inno dependent na kigoma independent sijawaona muda!!Kwani Kigoma Independent anasemaje!
Inno dependent na kigoma independent sijawaona muda!!
Mzeee small mjomba mchumariMkuu kibonge ndio nani?
Anhaa nimekupata mkuu asante😁Mzeee small mjomba mchumari
Duuuuh!Narudia tena wewe ni mpumbavu.