herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,962
- 3,189
ni wimbo gani wameomba matusi katika hz mpya zilizoachiwa...?Kwa kuimba matusi jamaa wako vzr aisee.
ni wimbo gani wameomba matusi katika hz mpya zilizoachiwa...?Kwa kuimba matusi jamaa wako vzr aisee.
ni wimbo gani wameomba matusi katika hz mpya zilizoachiwa...?Kwa kuimba matusi jamaa wako vzr aisee.
Juzi nimesikiliza hiyo ya kofgi olomide nikabaki nacheka tuNaona mwisho wa Mwaka ndani ya Mwezi mmoja WCB wanaachia pini juu ya pini zaidi ya Nne ambayo sio kawaida.
Lavalava ft Diamond
Rayvanny ft Diamond
Baba Levo ft Diamond
Diamond ft Koffi Olomide
Zuchu & Rayvanny
Hizo tatu za mwanzo kama wanamshambuliana "Kibonge ila Kwenye Muziki Bado Sanaa.."
Sio kawaida yao kutoa nyimbo kwa wingi hivi uwa wanaachiana Airtime. Au ndio wanataka piga show za Mwisho wa Mwaka vizuri?
Sikufichi na sitaki kua mnafki, diamond angepata bahati ya kuwa msanii kwenye nchi ambayo watu wengi wako conscious asingekuwa wack angeimba mziki logicalMziki ushakuwa wa WCB , wasanii wengine kama wamechoka hvi au wamekata tamaa, nawashauri wakomae Tu kibabe, remix ya Ushamba ya harmonize ina view 200K ni wiki ya pili sasa..... Ila hzi nyimbo mbili Rayvany ft Zuchu na Diamond ft Kofi olomide , zimevuruga kabisa hali ya hewa , hzo zingine dis-track nafkri wanauchangamsha mji ,.....
Tulipoingia kizazi kipya tulimkataa mista nice kwa nyimbo zake zile za "kuku kapanda baiskeli bata kavaa laizoni" now tuko 2020 tukielekea 2021 eti msanii anaingia studio anatuimbia "kachukua kaweka waah", "yesa, yesa yesa"Kwa kuimba matusi jamaa wako vzr aisee.
Msanii ni kioo cha jamii hivyo kila kazi unayoifanya ni lazima ukumbuke nyuma yako kuna kundi la watu wameweka matazamio yao kwa kupata faida ya maarifa mapya kupitia kazi zakoSasa maswala ya kutukanana yametoka wap tena boss ?? , ubora wa nyimbo unapimwa vip Kwa upande wako ?? , istoshe nan kapima ubora wa nyimbo hapa au ni mtazamo wa trending za mashabiki kwenye digital platform inayofanya vizur zaidi ukanda huu notably youtube....itoshe kusema we ndo mpumbavu Mkubwa na aliyekuzaa ana hasara
Hahaha hivi nikichomeka socket ya umeme nikawasha kisha nikawa naikojolea mkojo nini kitatokea?Msanii ni kioo cha jamii hivyo kila kazi unayoifanya ni lazima ukumbuke nyuma yako kuna kundi la watu wameweka matazamio yao kwa kupata faida ya maarifa mapya kupitia kazi zako
Ubora wa wimbo ni mashairi na hapa namaanisha lryical
Halafu kwa bongo hapa tayari mziki umeathiriwa kwa trend na mazoea, na ndio maana watu saizi huangalia WCB kama ndio source kuu ya mziki mzuri.
So hata leo diamond akiingia studio kisha akarekidi mluzi wa dakika 3 kisha akatupia youtube tayari watu watau-view huo mluzi na kwasababh watu washajiwekea mazoea watatoa kongole tu kua mwana ngoma hiyo kaua na kama ilikua ni kolabo kuna mdau mwingine alihusika kupiga kolasi ya mluzi watu wataeema tu kua jamaa kapotezwa na simba
Hii ndio tanzania ambayo tupo, msanii anaingia studion anaimba sexy, sexy, sexy lady sexy na anapasua views zaidi ya milion wakati huo kuna ngoma kali za vijana wadogo tu ambazo zina make sense hazisikilizwi wala hazina views
Mwishoni hapo nimesikitika sana ulivyo mtusi jamaa kwa kumtukania mzazi wake as if mshkaji una hisa pale wcb
Kwamba unachomeka kikojoleo kwenye socket, au unachomeka nini? Vyote unavyo, jaribu utupe mrejesho!Hahaha hivi nikichomeka socket ya umeme nikawasha kisha nikawa naikojolea mkojo nini kitatokea?