Oyaa toa jina la Rich tafadhali. Hao watoto wamejulikana kupitia Diamond.. Ila Rich tunamjua way back.. Futa hilo jina muweke yule jamaa yao mwengine aliyeoza meno anaitwa Q Boy sijui
Pacha wangu na Ibaki story ni ngoma kali sana kuliko hizo ulizozitajaRich mavoko ni mkongwe ila hana heat Kali kama za hermonize bado na aiyola +niambie na matatizo pia ana nyimbo nyingi ila hana wimbo wa kuizid kwetu ya Raymond hivo kwa upande wangu hermonize bado anaendelea kuwa juu na anawameza sana wenzake kwa sauti na mashairi yake matamu