hahahaaaaaaaaa,mbona wengine sie weusi na tunapendwa tuuu,in fact you have to be proud of what you are ,sio kujikataa na kujichubuua hadi mvuto wa asili unapotea,its sad and i think its because of lil' education and lack of self esteem! shame on them,wangejua wazungu tulionao huku wanatamani kuwa weusi kama sisi coz ya adha za kuungua na jua due to shortage of melanin pigment.........wasingetumia maji ya betri na tindikali kujichubua hivyo,hadi wanatisha sasa.....na nyie wanaume acheni kuwadanganya kwamba wakijichubua soko lao kwenu linaongezaka.,yangu macho jinsi watakavyo fubaa na kuwa ampicillin aka rangi mbili!:frown:
wataishije mjini bila kujichubua ?nyie mapadesheee ndo mnaopenda totoz nyeupe na wao hawana jinsi zaidi ya kujiloeka kwenye tindikali wafikie viwango vyenu,jamani maisha magumu!but i hate this,why ujichubue ,why why y???
wanahangaika hawa,kuna watu wamewadanganya ati wao ndo wazuriiiii, mibichwa hiyooo kuhangaika tu kujikubua, wanachotafuta ninini? mbona wengine hapo hata kuolewa hawajaolewa, wadada weusiiii wanaolewa kwa ndoa za heshima wanaojikubua bado wanahangaika barabarani. kazi kwelikweli.
Masikini I always say wanawake wengine wanaishi kwa kuendeshwa na matakwa ya wanaume (they live according to men's perspectives) Yaani wanaume wakihusudi viportable now wanajikondesha ili wawe viportable
- Wanaume wakitaka wanawake wenye coulored skin, ndo hivyo wanachubua skins zao
- Wanaume wakitaka wenye mawowowo na shape basi wachina wanafanya biashara yaani ah
Hebu wanaume badilisheni anzeni ku-go for blakies tuone kama hawajapaka piko mwili mzima.
samahanini jamani, lakini huyu dada mie hamna cku nimependa kuanzia uvaaji hadi cjui make up, kuna pic hapo yaani kajikandika ma powder balaa...cjui mshauri wake nani jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.