Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,903
- 95,185
Leo hii wasanii wa vyombo vya habari vya kimataifa wametoa vibonzo mbali mbali kuhusu hali ya maisha ya mtanzania.
Mojawapo ni msanii wa kituo cha radio cha ujerumani yaani DW.
Hapo chini ni mchoro unao waonyesha watawala wetu wakijadiliana jinsi ya kumfanya mnyonge,mvuja jasho wa nchi hii.
Mojawapo ni msanii wa kituo cha radio cha ujerumani yaani DW.
Hapo chini ni mchoro unao waonyesha watawala wetu wakijadiliana jinsi ya kumfanya mnyonge,mvuja jasho wa nchi hii.
Hakika cha moto tunakiona ingawa hatujafa.