mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,201
View attachment 1908171kumbe jamaa ni wa chama chetu
Nimeambiwa alikua ccm jpm alipokaza vyuma akahamia cdm✌😆😆
View attachment 1908171kumbe jamaa ni wa chama chetu
Haisaidii chochote zaidi ya kukosa tu weledi na kujilisha upepo. Jukwaa hili Kuna mtu unaweza kunidanganya hivyo. Empty set.Hatari sanaView attachment 1908046
Nimeambiwa alikua ccm jpm alipokaza vyuma akahamia cdm
Hiyo hawakumbuki ila likishawaka linatukumba woote bila kuchagua rangi za mavazi yetuNi ajabu sana, watu wanaona kuchochea vurugu kwa kuzusha uzushi dhidi ya vyama upinzani ni sawa, na wameachwa wakiyafanya haya mambo.
Wanasahau amani ni ya wote na vurugu inabomoa taifa.
Kama wameweza kuwapatia angalau chanjo ya covid 19 wakati mlisha danganywa kuwa inatibiwa kwa kujifukiza kwa nyungu unawezaje kukosa kuwasifia?Kwa hyo ww ulishindwa kuwa critical na ukaona thread haitanoga bila ya kuwataja wadhungu? Kweli walituweza kutuosha vichwa vyetu.
Eeeeeh na kadi nikaonyeshwa
Kwani!?
Kama washauri wake ni mpango na mwigulu unategemea nini, mpango yeye anaamini katika kuongeza kodi wamekutana na mwigulu wale walekwani SSH hana upeo wa kupambanua mambo? acheni kumsingizia mwingilu peke yake, wapo wengi wanesgauriana
Mshauri namba 1 wa rais ni mkurugenzi mkuu wa usalama wa taifa, anamshauri mambo yote kiuchumi, kisiasa, kijamii n.kNi nani anayewashauri washauri wa Rais!
Nami nimeonaView attachment 1908248
pole zangu ziende lumumba
Nami nimeona