kamituga
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 1,195
- 1,919
Wakuu kama mada inavyojieleza hapo juu nisiwachoshe na mambo mengi iko hivi;
Kuna jamaa wako kwa Trump tuna project nao sasa majuzi walikuja kuangalia miradi inaendeleaje Tanzania na Congo.
Ratiba yao ilikuwa waanzie hapa kisha waende DRC basi wakajipanga tukawasiliana kwenda kuwapokea cha ajabu baada ya kufika tu airport na process zote kuisha tunaelekea kwenye gari tuwapeleke hotelini jamaa wanaanza kulia machozi mi nikabaki na sintofahamu nikahisi wameibiwa kuwasikiliza vizur kumbe wanalia kwa furaha ndio ilikuwa mara ya kwanza kuja Afrika.
Tuipende Afrika tuipende Tanzania hao jamaa nao kumbe wanatamani kuja kwetu halafu sisi tunapadharau.
Kuna jamaa wako kwa Trump tuna project nao sasa majuzi walikuja kuangalia miradi inaendeleaje Tanzania na Congo.
Ratiba yao ilikuwa waanzie hapa kisha waende DRC basi wakajipanga tukawasiliana kwenda kuwapokea cha ajabu baada ya kufika tu airport na process zote kuisha tunaelekea kwenye gari tuwapeleke hotelini jamaa wanaanza kulia machozi mi nikabaki na sintofahamu nikahisi wameibiwa kuwasikiliza vizur kumbe wanalia kwa furaha ndio ilikuwa mara ya kwanza kuja Afrika.
Tuipende Afrika tuipende Tanzania hao jamaa nao kumbe wanatamani kuja kwetu halafu sisi tunapadharau.