Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
from my documents
utaniona nimeshika kifimbo hapo lol!
Hii picha ni kule milima ya usambara/Lushoto?
from my documents
mkuu ukiangalia mandhari yake utajua ni wapi ...lakini hao jama hawakuniacha solemba walinikumbuka na mfimbo wangu huo!! aisee
from my documents
Huku kunafanana na kule kwetu Tukuyu....[/QUOTE
Huku hakuwezi kuwa Tukuyu mbona hao wasichana kwenye picha miguu yao myembamba!!
Huku kunafanana na kule kwetu Tukuyu....[/QUOTE
Huku hakuwezi kuwa Tukuyu mbona hao wasichana kwenye picha miguu yao myembamba!!
ahahhahahhaha!! haya bwana
Kuna tofauti kubwa kati ya nchi zilizoendelea na zinazoendelea..hata katika uvaaji wa kawaida..