chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,713
Ni kweli mababu zetu, ndugu zetu tumepoteza sana kwa hawa leo tuna sema wana demekrosia wana haki za binafamu wana umoja wa mataifa.
Afrika ilikuwa na historia yake ila kwa wale wana siasa na zani itakuwa uwanja wenu.
Afrika kuna uchafu ulifanyika hata walio kwenda kwa wazungu japo vizazi vipo ila huko kwa asia sitaki kusema dini itatumika sana
Tujadili wana zengo
Afrika ilikuwa na historia yake ila kwa wale wana siasa na zani itakuwa uwanja wenu.
Afrika kuna uchafu ulifanyika hata walio kwenda kwa wazungu japo vizazi vipo ila huko kwa asia sitaki kusema dini itatumika sana
Tujadili wana zengo