Nasikia south africa kuna msemowa weusi unaosema 'wait until Mandela dies'.Je hofu za wazungu ni kweli kwamba Mandela akifa wazungu watanyanganywa mashamba yao kama Zimbabwe?Umasikini wa waafrika wa Afrika ya kusini ni mkubwa zaidi kuliko ule wa waZimbabwe
Je kuna ukweli katika msemo huu?
Je kuna ukweli katika msemo huu?