Wazungu ni watu wabaya na wa hovyo mno

Nasisi watuweusi tuna matatizo, hata kukimbia tu alishindwa?, sisi ni wagumu sana ku sacrifice, ndio maana ilikuwa rahisi kutufanya watumwa.
 
Hapana ndugu. Nadhani tunaweza kabisa kujitegemea kama Africa kiasi wao waje kuomba kwetu kushirikiana,kungekua na viongozi takribani 30-40 ktk nchi za kiafrika,tukaamua kuiunga Africa kua moja na kufanya mambo yetu,aisee itawezekana..kuna mambo makubwa mawili tu yanayo tuangusha, kuweka mipaka ya nchi na nchi hapa Africa na kukubali elimu iliyo jaa misingi ya kigeni,hili kosa kubwa sana hapa Africa,laiti tungekua na kina Magufuli 40,kina Nkwame Nkuruma 40, kina Ghadafi 40 na wakaweza wazo moja la kujitenga na udhalimu wa mtu mweupe tungeanza kwa ugumu fulani lakini vizazi vyetu vingekaa sawa huko mbeleni. Wazungu ni wabaya sana hata kama huja na misaada mingi kwetu na kujifanya ni marafiki lakini ni wanafiki tu. Ukoloni bado upo isipokua wanatumia akili tu.
Umeanza vizuri katikati uneharibu magufuli kafanya nini? sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shuleni huwezi fundishwa kila kitu kinachohusiana na ulimwengu.. Mda usingetosha kufundishwa vitu vyote ndo maana jamii kubwa ya wazungu hupendelea kusoma vitabu mbalimbali.. Nakumbuka hata nilipo kuwa O-level nikuwa nikiingia library nikisoma nikachoka nilikuwa napumzikia vile vitabu vya kiada..

Nilikuwa nikijifunza vitu flani hivi unakuta ni vya muhimu lakini hatufundishwi shule.. Hii ni kwasababu shule ni kama kitendo cha kutoa elimu elekezi ambayo imewekewa baadhi ya limitations kutokana na syllabus.. Na ukijifanya unajibu tofauti na syllabus utafeli hata kama ulikuwa sahihi.

Kwahiyo ni vizuri kusoma baadhi ya vitu ambavyo vipo related na fani yako na maisha kwa ujumla hata ukimaliza shule..

Hii dunia inavitu vingi sana vya kutupatia.. Lakini pale tu tutakapo amua kufungua moyo na kuvitafuta.

Naomba nimalizie kwa kusema watu wote tupo sawa.. Kinachotupa tofauti kubwa ni mazingira tuliyo kulia na malezi.. Ni kama vile wanaume wa mkoani wanavyoona kama wanaume wanao ishi Dsm ni dhaifu, hiyo inatokana na wanaume wengi Dar kufanya kazi za kiofisi na wa mkoani kufanya kazi za shambani

That's what makes the difference..!
Kwanini shuleni hatufundishwi hii historia nzuri?
 
Hapana ndugu. Nadhani tunaweza kabisa kujitegemea kama Africa kiasi wao waje kuomba kwetu kushirikiana,kungekua na viongozi takribani 30-40 ktk nchi za kiafrika,tukaamua kuiunga Africa kua moja na kufanya mambo yetu,aisee itawezekana..kuna mambo makubwa mawili tu yanayo tuangusha, kuweka mipaka ya nchi na nchi hapa Africa na kukubali elimu iliyo jaa misingi ya kigeni,hili kosa kubwa sana hapa Africa,laiti tungekua na kina Magufuli 40,kina Nkwame Nkuruma 40, kina Ghadafi 40 na wakaweza wazo moja la kujitenga na udhalimu wa mtu mweupe tungeanza kwa ugumu fulani lakini vizazi vyetu vingekaa sawa huko mbeleni. Wazungu ni wabaya sana hata kama huja na misaada mingi kwetu na kujifanya ni marafiki lakini ni wanafiki tu. Ukoloni bado upo isipokua wanatumia akili tu.
Wabaya kama waarabu???
 
Huwez kulinganisha tukio hili na la wabeligiji kumnyonga mtoto. Huu ni ugomvi halali wa watu wazima na yule ni mtoto asiye na hatia
 
Wazungu na waarabu ni watu wabaya sana . tena waarabu ninwavaya zaidi
Waarabu Wamekuzalisha bila ndoa au?
Basi ukute we kinachokusumbua ni ule ulaji wa mbuzi katoliki tu. Hakuna jingine
 
Nataka nijue kuhusu waarabu mkuu. Maana naskia waarabu ni màkatili
Nao pia sio watu wazuri,hivi si ndo waasisi wa ule mtandao ambao ni haramu??.
We unaejiita Chaula unaulizwa swali na wewe unauliza swali.
Mkiambiwa "Ache kula viti moto" hamtaki.
Mtandao wa haramu uko vipi?
Na hata km upo vipi uwajumlishe watu zaidi ya Milion 500 Na kuwaita wabaya?
We vipi Chaula. ! Au mwezi mchanga.
 
We unaejiita Chaula unaulizwa swali na wewe unauliza swali.
Mkiambiwa "Ache kula viti moto" hamtaki.
Mtandao wa haramu uko vipi?
Na hata km upo vipi uwajumlishe watu zaidi ya Milion 500 Na kuwaita wabaya?
We vipi Chaula. ! Au mwezi mchanga.
Nimekugusa ???.Au niongeze volume?.
 
Back
Top Bottom