Wazungu na matajiri wanawezaje kula hivi?

Kinachowasaidia wazungu ni ratiba yao ya kula. Kabla ya saa 2 asubuhi wanapata breakfast nzito ( maziwa, fresh juice, eggs, mikate, sausages, firigisi n.k.), saa 4 asubuhu wanabreak na coffee na some bites, kabla ya saa 7 mchana wanapata lunch ya maana, saa 10 jioni wanapata tena coffee/milk na some bites, inapofika dinner before saa 1 jioni tumbo linakuwa full. Kuna Semina moja ya wazungu nilienda na hiyo ratiba kwa kufakamia kila kitu, ilipofika dinner nilishindwa kumaliza nusu kuku. Hata nafasi ya kuweka bia tumboni ilikosekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao unakuta wanakula kula hovyo, haipiti nusu saa hawajatia kitu mdomoni. Sasa wewe unekula ugali sembe na dagaa saa 7 mchana unakaa hadi saa 2 usiku ndio ule matunda ulale!
 
Kinachowasaidia wazungu ni ratiba yao ya kula. Kabla ya saa 2 asubuhi wanapata breakfast nzito ( maziwa, fresh juice, eggs, mikate, sausages, firigisi n.k.), saa 4 asubuhu wanabreak na coffee na some bites, kabla ya saa 7 mchana wanapata lunch ya maana, saa 10 jioni wanapata tena coffee/milk na some bites, inapofika dinner before saa 1 jioni tumbo linakuwa full. Kuna Semina moja ya wazungu nilienda na hiyo ratiba kwa kufakamia kila kitu, ilipofika dinner nilishindwa kumaliza nusu kuku. Hata nafasi ya kuweka bia tumboni ilikosekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
duh noma sana
 
Tafuta pesa mkuu huwezi kuamini siku pesa ikikutembelea utakula hayo matund tu na utatuletea siredi ya una pesa ila huna njaa...
 
Nilitegemea angejitokeza hata mtaalamu angalau mmoja tu akaelezea sababu zinazopelekea watu kutofautiana katika ku-consume ration, jamii forum ina watu kada zote; kuna watu wa medicine, biology, nutrition, n.k. Mbona mnaangalia bila kusema chochote?! Mada hii inaweza kuonekana kama ni joke, lakini watu wanataka kujuwa the difference in (amount) consumption.

Mimi sio mtaalamu wa masuala ya biology, lakini naungana na waliosema kuwa consumption inategemea largely na aina ya kazi unayofanya. Anayefanya kazi nzito, hawezi ku-consume the same amount na mtu anayefanya light duties. Hii unaweza kufananisha na vitu kama: gari ya tani 3, je, feel consumption yake inaweza kuwa sawa na gari ya tani 10?! (Mtu anaweza kuona huu ni mfano wa ki-layman). Wataalamu njoeni mtusaidie hili jambo in terms of metabolism!
 
Kiukweli najiuliza matajiri na wazungu wamewezaje kula matunda tu kama msosi wa jumla hasa usiku?

Yaani eti anakula matunda tu analala!

Nikaona isiwe ishu, acha name nijaribu.
Saa 2 nikala matunda nikaelekea kulala.

Yaani usiku nipo kitandani nasikia watu ndotoni wanasema RIP. Nikaamka nikaanza kutazama bati, mpaka kufikia kumkosoa fundi aliyepaua.

Wadudu nao tumboni wanaulizana huyu jamaa leo vipi? Hali ama?

Nikaona isiwe kesi nisije pelekwa hospital bure kutundikiwa dripu wakadhani mie mgonjwa. Ikabidi tuu nisonge ugali usiku.

Najiuliza hawa watu tajwa wanaishije kwa kula hivyo vijitunda kisha wanalala vizuri tu?

Nimekoma aseeh
Usiku unakula msosi heavy unaenda kubeba zege usingizini au?
Hata juice glass moja nakunywa nalala na kesho naamka vizuri tu

Ukiona nakula heavy usiku basi ujue nina show ya kufanya siku hiyo, otherwise nakula simple sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ya watu wengi wanafanya kula kama starehe... Hapo ndio matatizo mengi yanapoanzia...
Kiukweli najiuliza matajiri na wazungu wamewezaje kula matunda tu kama msosi wa jumla hasa usiku?

Yaani eti anakula matunda tu analala!

Nikaona isiwe ishu, acha name nijaribu.
Saa 2 nikala matunda nikaelekea kulala.

Yaani usiku nipo kitandani nasikia watu ndotoni wanasema RIP. Nikaamka nikaanza kutazama bati, mpaka kufikia kumkosoa fundi aliyepaua.

Wadudu nao tumboni wanaulizana huyu jamaa leo vipi? Hali ama?

Nikaona isiwe kesi nisije pelekwa hospital bure kutundikiwa dripu wakadhani mie mgonjwa. Ikabidi tuu nisonge ugali usiku.

Najiuliza hawa watu tajwa wanaishije kwa kula hivyo vijitunda kisha wanalala vizuri tu?

Nimekoma aseeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nambie tajiri unaishije kwa kula hivi?

Kiukweli minyoo ni ndugu zangu wa damu siwezi waacha..
Inawezekana kabisa mkuu,mfano mimi nimeanza kuchukia nyama nyekundu,vyakula vilivyopikwa na viungo vingi n.k. Hata white meat napenda iliyookwa na kukauka kabisa
 
Inawezekana kabisa mkuu,mfano mimi nimeanza kuchukia nyama nyekundu,vyakula vilivyopikwa na viungo vingi n.k. Hata white meat napenda iliyookwa na kukauka kabisa
Nyama nyekundu ina nn mkuu? Mpaka hot chair??
 
Hiyo nilijaribu wiki jana,nikaona kila siku nakula tu wali,ugali usiku,wakati wengine wanasema wanakula mtunda tu,wanalala!basi nikanunua ndizi mbivu kama 5 hivi,na parachichi la jero!nmerud zangu nikaanza kula hayo matunda pembeni niko na maji yangu ya Tanza!! Nmemaliza nikasema acha nilale zangu sasa nmeshibaa!Walahi saa 6 usiku tu tumbo tupuu,minyoo inalalamika balaa!!nikaona sio kesi nikaamka nikapika chai,angalau ikanisogeza mpaka asubuhi nikawahi mihogo chap!yaani nimeapa sirudii tena hayo mambo ya kizungu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Iga ufe hahah😅

mtu kwa siku anakula milo 5 si sawa na unaekula milo 3
Mtu ana 1.warmtea/coffee/milk asubuhi na bites kdogo 2.matunda 3.lunch nzuri 4.evening tea na snacks 5.kwanini asile kitu chepesi alale?.
 
Kinachowasaidia wazungu ni ratiba yao ya kula. Kabla ya saa 2 asubuhi wanapata breakfast nzito ( maziwa, fresh juice, eggs, mikate, sausages, firigisi n.k.), saa 4 asubuhu wanabreak na coffee na some bites, kabla ya saa 7 mchana wanapata lunch ya maana, saa 10 jioni wanapata tena coffee/milk na some bites, inapofika dinner before saa 1 jioni tumbo linakuwa full. Kuna Semina moja ya wazungu nilienda na hiyo ratiba kwa kufakamia kila kitu, ilipofika dinner nilishindwa kumaliza nusu kuku. Hata nafasi ya kuweka bia tumboni ilikosekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndo ukweli wa eating light jioni

labda uwe kwenye diet
 
Mimi sio mtaalamu wa diet au afya lakini hivi ndivyo nilivyofanya kupunguza kula ovyo ovyo.

Ukichunguza diet ya wabongo wengi ni starch kuanzia asubuhi mpaka jioni. Asubuhi ni supu au chai kwa chapati(starch), au maandazi(starch) au mkate(starch). Mchana wali(starch), au ugali(starch) kwa mboga uipendayo. Jioni tena kama sio wali ni ugali , wengine chipsi ambapo bado unakula starch tu.

Kwa kifupi starch ikiingia mwilini inakuwa converted to glucose na excess inakuwa converted to fat. Mwili nao hauhitaji starch nyingi kama wengi tunavyokula.

Ukila sana sukari(glucose) unakuwa unasikia njaa muda wote, nilichofanya niliacha kula sukari kabisa na vitu vyote vya sukari kama soda, cake n.k, kingine nilipunguza sana starch na kuongeza protein na mboga za majani kwenye diet yangu.

Kilichotokea nilijikuta naweza kushinda bila kula siku nzima na sisikii njaa na wala kichwa hakiumi, kwa kifupi naweza kula mlo mmoja ulio sahihi na Mara nyingi ni jioni na bado nikafanya mazoezi vizuri tu. Maji nayo nakunywa mengi sana.
 
Mimi sio mtaalamu wa diet au afya lakini hivi ndivyo nilivyofanya kupunguza kula ovyo ovyo.

Ukichunguza diet ya wabongo wengi ni starch kuanzia asubuhi mpaka jioni. Asubuhi ni supu au chai kwa chapati(starch), au maandazi(starch) au mkate(starch). Mchana wali(starch), au ugali(starch) kwa mboga uipendayo. Jioni tena kama sio wali ni ugali , wengine chipsi ambapo bado unakula starch tu.

Kwa kifupi starch ikiingia mwilini inakuwa converted to glucose na excess inakuwa converted to fat. Mwili nao hauhitaji starch nyingi kama wengi tunavyokula.

Ukila sana sukari(glucose) unakuwa unasikia njaa muda wote, nilichofanya niliacha kula sukari kabisa na vitu vyote vya sukari kama soda, cake n.k, kingine nilipunguza sana starch na kuongeza protein na mboga za majani kwenye diet yangu.

Kilichotokea nilijikuta naweza kushinda bila kula siku nzima na sisikii njaa na wala kichwa hakiumi, kwa kifupi naweza kula mlo mmoja ulio sahihi na Mara nyingi ni jioni na bado nikafanya mazoezi vizuri tu. Maji nayo nakunywa mengi sana.
Sahihi kabisa vyakula vyenye protini nyingi vinakufanya usihisi njaa haraka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom