lolyz
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 339
- 199
Kuna wazungu wameonekana siku ya jana mitaani wakitembelea maduka yanayotoa huduma za M-Pesa wanadai wao wametoka makao makuu.Wakifika wanauliza una float kiasi gani kwenye akaunti yako,majina ,na namba za simu kitu ambacho ikiwa yeye ametoka makao makuu ni lazima akicheck namba yako anaweza kuona salio.Wanatumia simu za Blackberry kama data input yao -Tahadhari kwa walioachwa kwenye maduka wasibabaike kisa ni wazungu - wamevaa t-shirt za Vodacom ila hawaji na gari la kiofisi,naskia kuna namna wakijua salio lako ni rahisi kukuibia??????