Wazungu kuifanya libya switzerland of africa

Siyane

Member
Dec 26, 2010
46
9
NATO, UN, na mambo yote ya umarekanimarekani wanawapenda sana watu wa Libya kuliko Wasyria, Wapalestina na Wasomalia. Hili linadhibitishwa na namna mamia ya watu wanavyouliwa katika nchi hizi sasa hasa huko Syria ambako kuna mwendelezo wa mazingira kama ya Libya. Cha ajabu ndani ya Syria ni vita kali baina ya serikali na raia ambapo serikali inatumia mabomu hasa katika mji wa Homs. Watoto, akina mama, n.k wanapoteza maisha kila uchapo. Haikuwa hivi kwa upande wa Libya lakini mwitikio wa umarekanimarekani ulikuwa wa kishindo. Huenda kwa kuwapenda sana Walibya kuliko binadamu mwingine, NATO, na umarekanimarekani wooote wana mpango wa kuigeuza Libya kuwa Switzerland of Africa.
 
Kwanini wazungu ndiyo waifanye Libya kuwa Switzerland? Kwanini Libya isiwe Libya ya Africa?
Au wanataka kuleta Snow na Alpine weather Jangwani?
 
Urusi na Uchina ndio wameweka ngumu kwa kutumia kura yao ya VETO ili Syria isiwekewe vikwazo. Wachina na Warusi ndio wakulaumiwa
 
Urusi na Uchina ndio wameweka ngumu kwa kutumia kura yao ya VETO ili Syria isiwekewe vikwazo. Wachina na Warusi ndio wakulaumiwa

We ni "great thinker" . Una uwezo wa kupiga mbizi sawia katika bahari ya ufahamu. Aksante
 
Bado sijakupata, how will manage to change Libya kuwa Switzerland of Africa zaidi ya kunyonya mafuta na kuwaachia jangwa walibya?

Ndiyo hapo sasa. Yetu macho. Lakini sio mbaya ukijaribu kuingia ndani ya mada. Aksante
 
Kwanini wazungu ndiyo waifanye Libya kuwa Switzerland? Kwanini Libya isiwe Libya ya Africa?
Au wanataka kuleta Snow na Alpine weather Jangwani?
Kwa muktadha wa mada, nadhani ndivyo itakavyokuwa.Wazungu wataleta kila kilicho Swiss ndani ya Libya.
 
Ni muhimu kufungua macho jamani, yaani mtu anaamini propaganda za bbc na cnn bila kutafakari. Eti serikali ya siria inapambana na raia, tangu lini raia wana makombora na silaha za nguvu bwana, kawaida raia ni mawe na hapo serikali inatumia tear gas, sasa hawa tunao ambiwa ni raia walitoa wapi silaha nzito kupambana na serikali.

Tuliambiwa haya haya, libya, halafu mwisho tumegundua vikundi flani vilikuwa tayari wameshapewa silaha kutoka ulaya tayari vita. lakini cnn, na bbc wakwa tuambia ni kina mama na watoto.

Jamani sipendi madikteta lakini kwangu mimi afadhali dikteta hakufichi, kuliko mnafiki muongo anaye kudanganya eti atakusaidia malazi hivi ukisinzia tu, kidole ndani.
 
NATO na UNO wameisha jiondoa kwenye tatizo la Libya. Lililo baki ni kuchota mafuta. Hawajali kwamba hata leo hivi kuna walio uwawa Libya lakini kuna chombo cha habari ambacho kimetangaza? Labda nikupe namba za simu za watu walioko Tripoli, Bangazi au Sebha uwaulize mwenyewe?

ISIJE IKATOKE HAPA KWETU. LAKINI TUTAIZUIAJE?
 
Back
Top Bottom