MR Trans
Member
- Apr 18, 2019
- 34
- 24
Wakuu habari za wakati huu, poleni kwa majukumu ya kutwa nzima!
Naomba kutoka kwenu wakuu kwa wale wabobevu na wazoefu wa njia ya Dar-Iringa-Mbeya, wanijuze ni mabasi gani mazuri na ya uhakika pia luxury yanayotoka Dar alfajiri mapema yaendayo/ yaishiayo RUAHA. Gharama yake pia kama itapatikana itakuwa msaada mkubwa sana kwangu.
Msaada wenu wakuu.
Update!
Wakuu naomba kuwashukuru wote kwa muongozo na taarifa za kina juu ya njia ya Iringa-Mbeya. Nimefanikiwa kwenda kwa busi la Luwenzo/ Sweet Africa na kurejea Dsm kwa Alsaedy.
Nauli: 22,000.00
Naomba kutoka kwenu wakuu kwa wale wabobevu na wazoefu wa njia ya Dar-Iringa-Mbeya, wanijuze ni mabasi gani mazuri na ya uhakika pia luxury yanayotoka Dar alfajiri mapema yaendayo/ yaishiayo RUAHA. Gharama yake pia kama itapatikana itakuwa msaada mkubwa sana kwangu.
Msaada wenu wakuu.
Update!
Wakuu naomba kuwashukuru wote kwa muongozo na taarifa za kina juu ya njia ya Iringa-Mbeya. Nimefanikiwa kwenda kwa busi la Luwenzo/ Sweet Africa na kurejea Dsm kwa Alsaedy.
Nauli: 22,000.00