Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mtu - Jakaya Mrisho Kikwete
Rafiki zake:
- Marehemu Ditopile Ukiwaona Mzuzuri (alijiuzulu baada ya kutuhumiwa mauaji)
- Edward Lowassa (alijiuzulu kutuhumiwa matumizi mabaya ya cheo)
- Rostam Aziz (kabanwa na Bunge kuhusu ufisadi)
- Andrew Chenge (kajiuzulu sababu ya ufisadi)
- Ibrahim Msabaha (kajiuzulu kutokana na matumizi mabaya ya cheo chake)
- Nazir Karamagi (kajiuzulu kutokana na matumizi mabaya ya cheo)
- Rashid Othman (kashindwa kuongoza Usalama wa Taifa)
- Robert Manumba (Kashindwa kuongoza idara ya upepelezi wa makosa ya jinai hadi Rais anaunda timu nyingine ya kuchunguza uhalifu)
- x,y (marafiki wengine ambao wataingia matatani miezi michache ijayo)
Conclusion:
Any.
Rafiki zake:
- Marehemu Ditopile Ukiwaona Mzuzuri (alijiuzulu baada ya kutuhumiwa mauaji)
- Edward Lowassa (alijiuzulu kutuhumiwa matumizi mabaya ya cheo)
- Rostam Aziz (kabanwa na Bunge kuhusu ufisadi)
- Andrew Chenge (kajiuzulu sababu ya ufisadi)
- Ibrahim Msabaha (kajiuzulu kutokana na matumizi mabaya ya cheo chake)
- Nazir Karamagi (kajiuzulu kutokana na matumizi mabaya ya cheo)
- Rashid Othman (kashindwa kuongoza Usalama wa Taifa)
- Robert Manumba (Kashindwa kuongoza idara ya upepelezi wa makosa ya jinai hadi Rais anaunda timu nyingine ya kuchunguza uhalifu)
- x,y (marafiki wengine ambao wataingia matatani miezi michache ijayo)
Conclusion:
Any.