Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Habari zenu wakuu JF
Siku moja nilikuwa nasoma makala moja kwenye Internet iliyoandikwa FOOLISHNESS OF AFRICAN SLAVES. naomba niwashirikishe kwenye kisa hicho ili hapa GREAT THINKERS muweze kulinganisha na maisha ya siasa za Africa na Tanzania kwa ujumla.
Makala inaanza hv: Kulikuwa na watumwa 100 wa kiafrika walikuwa wakilima huku wakisimamiwa na Askari wa kizungu
1 akiwa na bunduki. wakati wakiendelea kulima watumwa 2 walipata wazo la kutoroka wao na wenzao 98.
Watumwa wale 2 walimpiga yule Askari
Siku moja nilikuwa nasoma makala moja kwenye Internet iliyoandikwa FOOLISHNESS OF AFRICAN SLAVES. naomba niwashirikishe kwenye kisa hicho ili hapa GREAT THINKERS muweze kulinganisha na maisha ya siasa za Africa na Tanzania kwa ujumla.
Makala inaanza hv: Kulikuwa na watumwa 100 wa kiafrika walikuwa wakilima huku wakisimamiwa na Askari wa kizungu
1 akiwa na bunduki. wakati wakiendelea kulima watumwa 2 walipata wazo la kutoroka wao na wenzao 98.
Watumwa wale 2 walimpiga yule Askari