impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,734
- 7,610
TAKUKURU Inao uwezo wa kuhoji, kuwachukulia hatua wateule wa Rais?
TAKUKURU inaweza kuwahoji na kuwachukulia hatua wana Siasa wa chama tawala?
TAKUKURU ni taasisi ya Umma?
Kama ni taasisi ya Umma inaendeshwa kwa mjibu wa sheria za Inchi, au inaongozwa kwa mjibu wa matakwa ya mwenye mamlaka?
TAKUKURU inaweza kuwahoji na kuwachukulia hatua wana Siasa wa chama tawala?
TAKUKURU ni taasisi ya Umma?
Kama ni taasisi ya Umma inaendeshwa kwa mjibu wa sheria za Inchi, au inaongozwa kwa mjibu wa matakwa ya mwenye mamlaka?