Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,878
- 4,877
Kama mwana michezo na mtu niliye guswa sana na kifo cha mchezaji chipukizi wa mbao fc nasahuri klabu za simba na yanga zicheze friend match na mapato yake japo asilimia 60 yatumike kama rambi rambi ili kuwafuta machozi familia iliyoondokewa na kijana wao tegemezi..
Nawasilisha
Nawasilisha